Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Askari wa Kirumi alimchoma Yesu mkuki ili andiko litimie. Askari huyo ambaye Biblia haikumtaja jina kwa sababu zilizoko nje ya uwezo wetu, alivyoona kweli amepona na ameona alishuhudia, na ushuhuda wake ulitoka moyoni, ili nasi tupate kusadiki. Wauaji wa Kirumi walipoona kwamba wale wezi waliosulubiwa pamoja na Yesu walikuwa bado hawajakata roho, waliwavunja miguu ili washindwe kupumua na hivyo kuharakisha kifo chao. Kwa upande wa Yesu, waliona alishapoteza fahamu na labda alishafariki. Kuthibitisha hilo askari wa Kirumi alirusha mkuki, nao ukatoboa utando unaozunguka moyo wa Yesu na mapafu ya Yesu, na damu na maji kutoka. Lakini yote hayo yalishatabiriwa miaka mingi kabla ya Yesu: ‘Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa’ na ‘Nao watamtazama yeye ambaye walimchoma’.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Wanasayansi wanaamini kuwa Yesu atarudi tarehe 29 Julai 2016. Tarehe hiyo kitu kikubwa sana kitatokea katika dunia yetu kitakachosababisha tetemeko kubwa la ardhi, litakalosababishwa na kubadilika kwa ncha za dunia, tendo litakalosababisha mionzi ya gama kutoka kwenye jua ifike duniani na kuua kila kitu kinachoonekana katika uso wa dunia hii. Watakatifu watafufuka na kumlaki Kristo mawinguni, ambaye anakuja kuwachukua wateule na kumweka Shetani kifungoni kwa miaka 1000. Hayo yote, wanasema, yatatokea ndani ya siku 11 kuanzia leo. Yaani, kusini mwa dunia kutakuwa kaskazini mwa dunia, kaskazini mwa dunia kutakuwa kusini mwa dunia. Kitendo hicho kitafanya dunia ikose kinga ya sumaku iitwayo ‘magnetosphere’ ambayo hukinga dunia dhidi ya mionzi ya gama kutoka kwenye jua. Mionzi hiyo hugonga ukuta wa ‘magnetosphere’ kila baada ya dakika 8 kwa mwendokasi wa kilometa milioni 1080 kwa saa; na kusambazwa katika ncha za dunia ambapo aghalabu huchanganyikana na oksijeni na kutengeneza kitu kinaitwa ‘aurora’, au mwanga wa ncha, ambacho ni maajabu mengine ya angani. Mwaka 2012 wanasayansi walisema ncha za dunia zingebadilika lakini hazikubadilika. Je, muda umefika sasa wa kuwaamini wanasayansi? Biblia ni chuo cha Mungu. Soma Biblia kupata maarifa.”

“If you think your religion requires discrimination, you're probably misreading your faith.”

“The concern of the scholar is primarily with what the text meant; the concern of the layperson is usually with what it means. The believing scholar insists that we must have both. Reading the Bible with an eye only to its meaning for us can lead to a great deal of nonsense as well as to every imaginable kind of error—because it lacks controls. Fortunately, most believers are blessed with at least a measure of that most important of all hermeneutical skills—common sense.”

“Saturday, May 22d.---It is now Saturday night, and I must prepare for the holy Sabbath. My Bible and Confession of Faith are my traveling companions, and precious friends have they been to me. I bless God for that glorious summary of Christian doctrine contained in our noble standards. It has cheered my soul in many a dark hour, and sustained me in many a desponding moment. I love to read it, and ponder carefully each proof text as I pass along.”

“Most of Jesus’ life is told through the four Gospels of the New Testament, known as the Canonical gospels, written by Matthew, Mark, Luke and John. These are not biographies in the modern sense but accounts with allegorical intent. They are written to engender faith in Jesus as the Messiah and the incarnation of God, and not to provide factual data about Jesus’s life. This left the door of exaggeration open. And through that door all kinds of mystical non-sense crept in and made place right alongside the good philosophical teachings of Jesus.”

“If we ask a random orthodox religious person, what is the best religion, he or she would proudly claim his or her own religion to be the best. A Christian would say Christianity is the best, a Muslim would say Islam is the best, a Jewish would say Judaism is the best and a Hindu would say Hinduism is the best. It takes a lot of mental exercise to get rid of such biases.”