“Askari wa Kirumi alimchoma Yesu mkuki ili andiko litimie. Askari huyo ambaye Biblia haikumtaja jina kwa sababu zilizoko nje ya uwezo wetu, alivyoona kweli amepona na ameona alishuhudia, na ushuhuda wake ulitoka moyoni, ili nasi tupate kusadiki. Wauaji wa Kirumi walipoona kwamba wale wezi waliosulubiwa pamoja na Yesu walikuwa bado hawajakata roho, waliwavunja miguu ili washindwe kupumua na hivyo kuharakisha kifo chao. Kwa upande wa Yesu, waliona alishapoteza fahamu na labda alishafariki. Kuthibitisha hilo askari wa Kirumi alirusha mkuki, nao ukatoboa utando unaozunguka moyo wa Yesu na mapafu ya Yesu, na damu na maji kutoka. Lakini yote hayo yalishatabiriwa miaka mingi kabla ya Yesu: ‘Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa’ na ‘Nao watamtazama yeye ambaye walimchoma’.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“If you think your religion requires discrimination, you're probably misreading your faith.”
Source: How to Read the Bible for All Its Worth
Source: How to Read the Bible for All Its Worth
Source: The Life and Letters of James Henley Thornwell, D.D., LL.D; Ex-President of the South Carolina College, Late Professor of Theology in the Theological
“Look for God, suggests my Guru. Look for God like a man with his head on fire looks for water.”
Source: The Whale: A Love Story
Source: Neurons of Jesus: Mind of A Teacher, Spouse & Thinker
Source: Neurons of Jesus: Mind of A Teacher, Spouse & Thinker
Source: The Best American Science Fiction and Fantasy 2016