Quotessence
Home / Quotes / Quote by Henry Johnson Jr

Quote by Henry Johnson Jr

Author

Henry Johnson Jr

Browse famous quotes and profile details for Henry Johnson Jr. more

You May Also Like

“Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.”

“Granted, many of them replied, that socialism may not result in riches for all but rather in a smaller production of wealth; nevertheless the masses will be happier under socialism, because they will share their worries with all their fellow citizens, and there will not be wealthier classes to be envied by poorer ones. The starving and ragged workers of Soviet Russia, they tell us, are a thousand times more joyful than the workers of the West who live under conditions which are luxurious compared to Russian standards; equality in poverty is a more satisfactory state than well-being where there are people who can flaunt more luxuries than the average man.”

“Most poor people do not really aspire to end poverty; they merely aspire to escape it.”