Quotessence
Home / Topics / Talents Quotes

Talents Quotes

Browse 372 quotes about Talents.

Talents Quotes

“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. Zifuatazo ni ngazi tano muhimu zitakazofanya uache dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta: Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka; Tumia kipaji ulichopewa na Mungu; Fanya kazi kwa bidii na maarifa; Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia; Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.”

“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.”

“God has a way of picking a “nobody” and turning their world upside down, in order to create a “somebody” that will remove the obstacles they encountered out of the pathway for others.”

“Don’t say you don’t have enough time or enough money to change the world. You have exactly the same number of hours per day that were given to Helen Keller, Gandhi, Michelangelo, Mother Teresa, Leonardo da Vinci and Jesus Christ.”

“Here is to all the brilliant minds that love deeply, for they write the stories that make us dream of true love. Here is to all the visionaries that create a miracle when others give up hope. Here is to all the artists, musicians, actors, singers, songwriters, dancers, screenwriters, philosophers, inventors and poetic hearts that create a perspective of heaven we can experience in this lifetime. But most of all, here is to the wild souls that the world calls broken, insane, abnormal, weird or different because they are the ones that renew our faith, by what they overcome and create, in a world that needs a sign that God doesn’t forget the least of us.”

“Sow the seeds of hard work and you will reap the fruits of success. Find something to do, do it with all your concentration. You will excel. Show the world you are not here to just pass through. Leave great footprints wherever you pass and be remembered for the change you initiated. Flow wherever you go. You can’t be limited. Dare to rise above all limitations and become better than you were. Strive to arrive at the top. Glow wherever you go and let the light of God reflect in the world around you. You carry the light of God and wherever you pass, darkness must flee. Grow your talents and skills through a consistent practice and progressive learning. Learn to relearn and unlearn. Raise the bar for yourself always. Blow out all negative attitudes and live true to your dreams. Talks less and act more. Be confident and see yourself wining even before the victory comes. Know God and let Him be known. You were saved by grace for greater works apportioned for you even before you were born. Share the good news. I am proud of you because greater things that eyes have not seen yet, the Lord will do through you.”

“You don’t see someone flying and you begin to bite yourself for not being able to do that. You do what you can.”

“To evade arrogance, remind yourself (from time to time) that your talent or success could have been better. To be thankful, remind yourself (every now and then) that your illness or failure could have been worse.”