Quotessence
Home / Topics / Visions Quotes

Visions Quotes

Browse 206 quotes about Visions.

Visions Quotes

“Aidha, tunaweza kupata inkishafi kutokana na asili ya miili yetu, matukio fulani ya wakati ujao yana asili yake katika ndoto za binadamu. Ndoto hizo au maono hayo ni ishara ya kile kinachokuja mbele katika maisha ya mtu; kama vile afya, ugonjwa au hatari. Ukiota kuhusu moto, hiyo ni ishara ya hasira – unatakiwa kuwa na hekima; ukiota kuhusu mimba na unajifungua, hiyo ni ishara ya kuwa katika mchakato wa kutengeneza wazo jipya – unatakiwa kushukuru; ukiota unaruka angani, hiyo ni ishara ya tumaini – unatakiwa kushukuru; ukiota kuhusu maji au kiowevu kingine chochote kile, hiyo ni ishara ya siri na wakati mwingine ni ishara ya kuwa na matatizo ya kiafya kama utaota kuhusu maji machafu – unatakiwa kuwa msiri na msafi; ukiota kuhusu ardhi, hiyo ni ishara ya huzuni – unatakiwa kuomba; na ukiota kuhusu Yesu, hiyo ni ishara ya mafanikio – unatakiwa kushukuru.”

“When visions come to us in the night, they are called dreams. The very movement of history seems to be directed by the conception of these dreams and efforts to realize them. How we conceive of the future, in other words, is of utmost importance to our collective destiny.”

“People’s confidence in their abilities influences how they approach life. Their dreams are likely anchored to what they feel they can achieve.”

“Innovators are owners of the situation. They own it because they create it—quite literally. They embrace the world as it should match the vision in their heads. And when something is missing from that vision, they fill the gap.”

“In this messianic vision, machine intelligence will come to redeem the universe of its incalculable stupidity. He takes a goal-oriented approach to cosmology, imposing upon the universe itself a kind of corporate project-management structure, composed of a series of key deliverables across deep time.”

“Mfundishe mtoto wako maadili mema kwa miaka kumi na tatu, katika umri wa miaka kumi na tatu fikra za mtoto huanza kuwa na maono na utambuzi wa vitu mbalimbali na watoto katika umri huo wanao uwezo wa kuchambua dhana kadha wa kadha za kinadharia na hali kadhalika wanao uwezo wa kuchambua nadharia tata zisizokuwa na hakika na hata zile zenye hakika zisizokuwa tata, kabla hujamkabidhi kwa dunia. Ukimkabidhi mtoto wako kwa dunia kabla ya umri wa miaka kumi na tatu, kama vile kumpeleka katika shule ya bweni au kumpeleka akalelewe na watu wengine ambao si wazazi wake, yale ambayo hukumfundisha atafundishwa na ulimwengu. Mpeleke mtoto wako katika shule ya bweni au kuishi na watu wengine akiwa amefundishwa maadili mema. Kinyume cha hapo atafundishwa na shule au watu wengine kwa kudharauliwa, kuchukiwa na kuadabishwa.”

“He had seen the end of an era, the sunset of the pioneer. He had come upon it when already its glory was nearly spent. So in the buffalo times a traveller used to come upon the embers of a hunter's fire on the prairie, after the hunter was up and gone; the coals would be trampled out, but the ground was warm, and the flattened grass where he had slept and where his pony had grazed, told the story. This was the very end of the road-making West; the men who had put plains and mountains under the iron harness were old; some were poor, and even the successful ones were hunting for a rest and a brief reprieve from death. It was already gone, that age; nothing could ever bring it back. The taste and smell and song of it, the visions those men had seen in the air and followed, - these he had caught in a kind of afterglow in their own faces, - and this would always be his.”

“He looked upwards at the brilliant blue sky. It was high noon because the sun was right overhead. The clouds danced around slowly, while drifting across the sky. He closed his eyes and felt the warmth of the sun glowing orange on his eyelids. It was a wonderful feeling.”

“I still dream in pictures and color, always the world of my childhood. I see the purple Judas trees at Easter lighting up the roadsides and terraces of the town. Ochre cliffs made of cinnamon powder. Autumn clouds rolling along the ground of the hills, and the patchwork of wet oak leaves on the grass. The shape of a rose petal. And my parents' faces, which will never grow any older. "But it is strange how scent brings it all back too. I only have to smell certain aromas, and I am back in a certain place with a certain feeling." The comforting past smelled of heliotrope and cherry and sweet almond biscuits: close-up smells, flowers you had to put your nose to as the sight faded from your eyes. The scents of that childhood past had already begun to slip away: Maman's apron with blotches of game stew; linen pressed with faded lavender; the sheep in the barn. The present, or what had so very recently been the present, was orange blossom infused with hope.”

“People who boast about age are actually forgetting something special. Age is not barrier to or elevator to success; that’s the job of vision.”

“The density of your destiny is the product of the mass of your visions and the volume your impacts occupy!”

“What is scripture? It is in the form of words. As the meanings of those words become clear (are clarified), they become shabdaarth (literal meaning of a word). Then the meaning of the word progress further. As the meaning is clarified further, it reaches parmartha (ultimate meaning). The vision reaches to that level. However, the scriptures cannot change the vision. A ‘Gnani Purush’ [the enlightened one] is needed to change the vision. It is ‘this’ very vision (unchanged vision) that has created the worldly life. The Gnani [the enlightened one] does ‘drashti-bhed’ [gives the vision of what is real and what is relative].”

“Ndoto za wachawi ni tofauti kidogo na ndoto takatifu. Wachawi wanapokuwa hawahitaji kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine, lakini wana hamu ya kuona wenzao wanafanya nini au wanasema nini, huwa wanalala ubavu mmoja upande wa kushoto kwa jina la mungu wao na la mashetani wote. Kisha wanatoa mvuke wa bluu midomoni mwao. Kupitia mvuke huo, kwa nguvu za Shetani na kwa ruhusa ya Mwenyezi Mungu, wataona na watasikia kila kinachofanyika upande wa pili. Kile wanachotaka kukiona na kukisikia hujifunua katika ufahamu wao kama taswira au maono, kutoka katika akili isiyotambua, ya watu wakifanya au wakisema kitu. Kama wanataka kujua siri za watu wengine, hata wale ambao si wachawi, watazijua kupitia ndoto hizo; kwa sababu ya makubaliano ya wazi, si ya siri, waliyoingia na Shetani. Makubaliano hayo si ya lelemama; yaani yale ambayo hufanywa kwa kutoa kafara ya mnyama, au kufuru ya aina yoyote ile kwa Mwenyezi Mungu, au kwa kuabudu dini za kichawi. Lakini ni kwa sadaka halisi ya wao wenyewe ya mwili na roho kwa Shetani na kwa kufuru ya kuikana kabisa, imani ya Mwenyezi Mungu. Lakini hiyo ni kwa wale wanaotumia uchawi wa kishetani. Wale wanaotumia uchawi wa asili, kama vile kutumia risasi kumroga mtu kwa sababu risasi mungu wake ni sayari ya Zohali, au wale walioingia mkataba wa siri na Shetani, hawana uwezo wa kuota hivyo. Hivyo, si kila mchawi anaweza kuota ndoto za namna hiyo, ni kwa wale tu walioingia mkataba wa wazi na Shetani.”

“My definition of an intellectual is someone who can listen to the William Tell Overture without thinking of the Lone Ranger" - Billy Connolly”

“Ballot papers do not define leaders. Leadership is defined by conviction, vision, passion and inspiration.”

“You may have the greatest vision, plans or goals as you may term it. You can call it Vison 2020, Vision 2045 or whatever. But remember, not work is done unless a distance is covered!”

“... she had foreseen the New Model Army's occupation of London in the tense weeks before Charles I was tried. Two years after that she had experienced a further trance and this time saw an army on the battlefield, led by a figure of valour and courage, God indicating that 'Oliver Cromwell, then Lord General, was that Gideon'. Cromwell's defeat of the Scots at the battle of Dunbar soon afterwards offered Anna confirmation of the truth of her visions.”

“Never give up. Never give up on your hopes. Never give up on your dreams. Never give up on your visions.”

“When the time comes for the fulfillment of the visions, all resources needed are made available by divine power.”

“Kuna ndoto za mchana na kuna ndoto za usiku. Ndoto za mchana ni maono ya kile ambacho roho inatamani kuwa. Ndoto za usiku ni maono yanayotokea wakati akili imetulia baada ya mwili wote kupumzika. Ukiota kuhusu moto, hiyo ni ishara ya hasira; ukiota kuhusu maji, hiyo ni ishara ya siri; ukiota kuhusu ardhi, hiyo ni ishara ya huzuni; ukiota kuhusu Yesu, hiyo ni ishara ya mafanikio. Kitu cha kwanza kufanya unapoota ndoto za kishetani, utakapoamka, mwombe Mungu akunusuru kutoka katika matatizo yoyote yanayokunyemelea; au yanayomnyemelea mtu mwingine yoyote yule, hata usiyemjua. Ubongo ni kitu cha ajabu kuliko vyote ulimwenguni na umetengenezwa na Mungu. Ndoto zinapatikana ndani ya ubongo. Ubongo unapatikana ndani ya ufahamu. Ufahamu mtawala wake ni malaika mwema. Malaika mwema anajua siri ya ndoto. Kila mtu anaota na kila ndoto ina maana yake. Rekodi ndoto zako kila siku kwa angalau mwezi mzima kupata maana halisi ya ndoto hizo, na kujua kwa nini ulizaliwa.”