“Kila mtu kabla ya kuzaliwa alipewa na Mwenyezi Mungu unabii na nyota ya ufalme. Una bahari ya fursa ya kuwa kitu chochote unachotaka kuwa katika dunia hii. Kama unataka furaha, furaha iko ndani yako. Kama unataka utajiri, utajiri uko ndani yako. Kama unataka amani, amani iko ndani yako. Kama wewe ni tone na fursa ni bahari, wewe ni bahari ndani ya tone.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: The Prince and the Pauper
Source: Protecting Miss Jenna
Source: Gone with the wind
Source: Narrative of the Life of Frederick Douglass
“Much Madness is Divinest Sense Much Sense the Starkest Madness”
Source: much madness is diviniest sense
Source: Small Orange Fruit