K Quotes
Browse famous quotes beginning with K. This page is a child index of the full Popular Quotes A-Z directory.
“Kallor said: "I walked this land when the T'lan Imass were but children. I have commanded armies a hundred thousand strong. I have spread the fire of my wrath across entire continents, and sat alone upon tall thrones. Do you grasp the meaning of this?" "Yes," said Caladan Brood, "you never learn."”
Source: Gardens Of The Moon: (Malazan Book Of The Fallen 1)
“kalo bangun pagi cepetan ngopi biar bisa membedakan mana banci mana bukan, banci sekrang cakep cakep apalagi banci Thailand”
“Kalo dari awal nggak suka mending nggak usah dilanjutkan, daripada naksir kemudian repot selamanya”
Source: Ganjil-Genap
“Kalo gue bener-bener mencintai lo, gue juga harus belajar melepaskan lo.... - Good Fight”
“Kalo lu dibilang kacang lupa kulitnya jawab aja gue kacang ijo..
Sekian..”
“kalo mau belanja perhiasan mutiara ASLI ya di missjoaquim dot com”
“Kalos Kai Agathos, the singular balance of the good and the beautiful.”
Source: Eat Pray Love: One Woman's Search for Everything
“Kalp, huzurlu olmak için tasarlanmıştır, ki bu hale ancak Allah'ı zikrederek erişilir:
"Bilesiniz ki kalpler ancak Allah'ı anmakla huzura kavuşur." (Rad suresi,28)”
“Kalp köktenciyse hiçbir kitap kutsal değil.”
Source: Kral Fakir: When Calls The Kainat
“Kalp kıranların en sevdikleri cümledir 'Ben böyleyim'.”
Source: Babam Beni Şahdamarımdan Öptü
“Kalp kırıldığında gözler boş bakar!”
“Kalp soğuksa her dua faydasız. Eller bencilse her insan şerefsiz.”
Source: Yüz Şiirlerin Yüzüğü
“Kalp, sır saklayabilir, fakat yüz iyi bir sır saklayıcı değildir! O yüzden kalbin bildiğini yüz teşhir eder!”
“Kalpop is not just music; it's a movement that brings people from different cultures together through the language of melody and rhythm. Let's celebrate diversity and unity with the power of Kalpop!”
“Kalpop isn’t just a genre; it’s the pulse of Africa’s heartbeat, a hymn to our past, and a vision for our future.”
Source: Klassik Era: The Genesis
“Kalpop music is all that I need.”
“Kalpop music is the magic key to the vault where my brain dwells.”
“Kalpteki hastaıkların birçoğunun kökeni, yakîn eksikliğine ve Allah'a güvenmemeye dayanır.”
Source: Purification of the Heart: Signs, Symptoms and Cures of the Spiritual Diseases of the Heart
“Kaltain flowed into the room, spreading her arms wide, and became shadowfire, became freedom and triumph, became a promise hissed in a dungeon beneath a glass castle:
Punish them all.”
Source: Queen of Shadows
“Kaltain unleashed the last of her shadowfire, tipping her face to the ceiling, toward a sky she'd never see again.
She took every wall and every column. As she brought it all crashing and crumbling around them, Kaltain smiled, and at last burned herself into ash on a phantom wind.”
Source: Queen of Shadows
“Kalton Harris says it's pretty common for young men like Dontay to drop out of programs designed to help them. All the barriers to good jobs, and all the other barriers that exist out in the world outside the program, are part of the reason, he says, but there is another: they have been deeply hurt at a young age, and they don't know how to deal with it.”
Source: We Were Once a Family: A Story of Love, Death, and Child Removal in America
“Kam glanced back at Zoe. “Me and Saul are close.”
Zoe smiled. “We are all Americans here. This is how this great nation was built--all for one and one for all.”
Kam looked at Saul and rattled her head. “Wasn’t that the Three Musketeers?” –Michael Benzehabe, from the novel Unassimilated”
“Kam-Kager og allehaande krusede Brød,
Og store Træskaaler med Hamborger Miød,
Vore Qvinder de giorde dem tomme.”
Source: The Trumpet of Nordland
“Kam reikalingi klausimai ir atsakymai, kai seniai esi suvokęs, kad žmogui teduota gyventi kelias akimirkas.”
Source: Karnas arv
“KAMA BIADAM ANAKULA NYAMA NI MUHIMU KUMUHESHIMU MNYAMA KWANI AMEJITOLEA MWILI WAKE ILI WEWE UISHI.
KABLA YA KUMCHINJA INATAKIWA UOMBE SALA YA KUMUHESHIMU NA KUSHUKURU KWA KUMWELEZA SABABU YA WEWE KULA NYAMA HIYO.”
“Kama damu haina maana kwa nini Mungu anaipenda? Kama damu haina maana kwa nini Shetani anaipenda? Mungu ni roho, Shetani ni roho, lakini damu ni kitu kinachoonekana kwa macho. Kwa nini damu ni kitu cha muhimu kiasi hicho kwa Mungu na kwa Shetani pia? Damu ni pato la ziada la ufunuo wa kiroho. Yaani, damu ni sehemu ya ulimwengu wa roho. Mungu ndiye aliyetengeneza damu kwa malengo anayoyajua yeye mwenyewe, hata Shetani hajui kwa asilimia mia umuhimu wa damu katika ulimwengu unaoonekana na katika ulimwengu usioonekana. Damu ina uwezo wa kuzuia mapepo kutoka kuzimu yasiharibu mipango ya maisha ya watu na ina uwezo wa kuondoa dhambi. Kafara ya damu inapotolewa inaimarisha uhusiano kati ya mtu na ulimwengu wa roho. Roho unayoitolea kafara inasikiliza shida zako papo hapo na kila unachoomba aghlabu kinatekelezwa. Ukitoa kafara kwa ajili ya Shetani, Shetani atasikiliza shida zako. Ukitoa kafara kwa ajili ya Mungu, Mungu atasikiliza shida zako. Tatizo kubwa la mwanadamu ni dhambi! Jibu la tatizo hilo ni damu ya Yesu Kristo.”
“Kama George Bush angekuwa na amani ndani ya moyo wake na Saddam Hussein angekuwa na amani ndani ya moyo wake Vita ya Ghuba isingetokea. Vilevile, katika kitabu cha ‘Kolonia Santita’, kama Rais wa Tume ya Dunia angekuwa na amani ndani ya moyo wake na kiongozi wa Kolonia Santita angekuwa na amani ndani ya moyo wake Kolonia Santita isingepigana na Umoja wa Mataifa. Taifa lisingepigana na taifa, na mataifa yasingepigana na magaidi.”
“Kama huijui historia ya Zanzibar kwa nini unajiita Mtanzania? Uzalendo ni pamoja na kuijua nchi yako.”
“Kama huna mama, kama mama yako alishafariki, au kama yupo lakini hakujali, hata kama baba yako yupo au hayupo, mafanikio yako yatatokana na juhudi zako mwenyewe.”
“Kama huwezi kumpenda mtu usimchukie.”
“Kama John Doe ana matatizo katika maisha yake acha ayatatue mwenyewe. Akishindwa atakuomba ushauri au ataomba ushauri kutoka kanisani kama ni Mkristo, au msikitini kama Mwislamu, au kutoka katika nyumba yoyote ya ibada kulingana na imani yake. Mtu akikuomba ushauri mshauri kwa moyo wako wote, wala usimshauri kwa unafiki au kinyongo cha aina yoyote ile.”
“Kama kuna jambo la muhimu unapaswa kufanya kwa ajili ya kadari ya maisha yako na kipindi hichohicho kuna kipindi kizuri cha televisheni unakisubiria, au simu ya umbea, au kinanda cha shida, palilia bustani yako ya kiroho kwa kuachana na televisheni na simu na kufanya jambo la msingi kwa ajili ya maisha yako.”
“Kama kuna swali maarufu kuliko yote katika kitabu cha 'Kolonia Santita' ni "Кто Вы, где Вы от, и почему Вы в Москве?" lililoulizwa na товарищи (Komredi) Anatoly-Chaika, baada ya kumfikisha Murphy katika 'dacha' ya Kolonia Santita ya Yugo Zapadnaya. Murphy hakumwelewa Chaika. Lakini mwenzake na Chaika (Vladimir) alipouliza kwa tafsiri, "Wewe ni nani, unatoka wapi, na unafanya nini Moscow?" Murphy alimwelewa na kucheka akiwa amenuna. Bila swali hilo asingeokoka.”
“Kama miaka 1000 ya duniani ni sawa na siku moja ya Mungu; hivyo basi, miaka 930 aliyoishi Adamu ni sawa na siku 0.93 au saa 22:32 za Mungu. Kwa hiyo, ili siku ya Mungu itimie Adamu alipaswa kuishi miaka 70 (siku 0.07 au saa 1:68) zaidi! Ukiidadavua saa 1:68 unapata saa 2:08. Kulingana na muda wa mbinguni tunapaswa kuishi kwa muda wa saa 2:08! Muda huo ni mfupi sana.”
“Kama Mungu na Shetani hawako ndani yako, hiyo vita ya kiroho unaipigania wapi?”
“Kama mwanadamu una haki ya msingi kuwa na amani katika maisha.”
“Kama nje ya uwezo wa kisheria ni uovu, hivyo basi, ndani ya uwezo wa kisheria ni wema. Kila mtu amepewa vipaji na Mwenyezi Mungu. Tumia vipaji vyako kutenda mema. Usitumie vipaji vyako kutenda maovu.”
“Kama purusharth advocates desires fulfilled be,
Albeit in awareness, without harming anybody;”
Source: Goals of Life
“Kama Shetani anatumia elimu kutawala dunia kama vile Mungu anavyotumia elimu kutawala dunia, nani alisema kuwa baadhi ya wasanii wa ‘Bongo Movie’ na ‘Bongo Flava’ ni wanachama wa chama cha siri cha kusaidiana cha wajenzi huru? Je, wana elimu? Jibu unalo.”
“Kama Shetani hawezi kulala sisi tutalalaje? Pambana hadi siku ya mwisho.”
“Kama ulikuwa ukimwambia mwanao kuwa atakuwa jambazi labda kwa sababu ya fujo zake alipokuwa mdogo, mambo mengi atakayokuwa anayafikiria au anayaota atakapopevuka akili ni ya kihalifu. Kwani hayo ndiyo mambo ya kwanza kabisa kujirekodi katika ubongo wake alipokuwa hajitambui. Lakini kama ulikuwa ukimwambia kuwa atakuwa daktari au mwanasheria, mambo mengi atakayokuwa anayafikiria au anayaota ni ya kidaktari au kisheria. Kuna uwezekano mkubwa akawa daktari au mwanasheria baadaye katika maisha yake.”
“Kama umeamua kuoa au kuolewa ukiwa na umri wa kati ya miaka 18 na 40, kulingana na kanuni ya kuachana na ukapera (‘optimal stopping’) umri wa kuwa na msimamo kuhusiana na mtu utakayeoa au kuolewa naye ni baada tu ya kufikisha umri wa miaka 26. Kabla ya hapo kuna uwezekano ukakosa wachumba bora, baada ya hapo wachumba bora wanaweza kuanza kupotea, hivyo kukupunguzia uwezekano wa kumpata mke au mume aliye mwema.”
“Kama umechagua mtu akashinda au akashindwa na matokeo yakatangazwa, idadi kubwa ya watu ikakubaliana na matokeo hayo, umeongea na nchi yako na imekujibu.”
“Kama umefanya au umesema kitu kibaya na ukasema ukweli mbele ya mtu au ya watu, omba msamaha kupata tena kibali cha umma.”
“Kama una akili, kama una uwezo wa kuota ndoto, na kama wewe ni mchapakazi hodari, hakuna kitakachoshindikana.”
“Kama una akili kuwa kawaida. Kama una nguvu kuwa mkarimu. Kama una pesa kuwa mnyenyekevu. Ukitaka kuwa na akili kuwa kawaida. Ukitaka kuwa na nguvu kuwa mkarimu. Ukitaka kuwa na pesa kuwa mnyenyekevu.”
“Kama unataka kuijua vizuri historia ya mwanamke hasa mwanamke unayetaka kuoana naye, usifanye naye mapenzi kwa miezi sita angalau. Ukifanya naye mapenzi kwa miezi sita au zaidi, au ndani ya miezi sita, halafu akakuchanganya kimapenzi, hutakuwa na uwezo mkubwa wa kuwasikiliza watu kuhusiana na historia yake.”
“Kama utafiti wa mtu umevuka mipaka ya ukweli au uhalisia toa utafiti mwingine kuupinga huo wa kwake, kwa lengo la kuelimisha wengi. Haina maana kusema jambo si la kweli na usitwambie kwa nini si la kweli.”
“Kamala: You're WOLVERINE! My Wolverine-and-Storm-in-space fanfic was the third-most upvoted story on Freaking Awesome last month!
Logan: Oh my God.
Kamala: I had you guys fighting this giant alien blob that farts wormholes!
Logan: Sounds great, kid.
[pause]
Logan: Wait--so what was the MOST upvoted story?
Kamala: Umm...Cyclops and Emma Frost's romantic vacation in Paris?
Logan: This is the worst day of my life.”
Source: Generation Why
“Kamand,
die every day
so you remember
to live.”