Quotessence
Home / Topics / Good Quotes

Good Quotes

Browse 1752 quotes about Good.

Related topics

Good Quotes

“Hasanati ni matendo mema. Mema yanatoka kwa Mungu. Mabaya yanatoka kwa Shetani. Mke mwema anatoka kwa Mungu. Mke mbaya anatoka kwa Shetani. Mke mwema ana hekima na busara, ana maadili na tabia njema, ana utu na uchapakazi, ana wema na upendo, na ana aibu kwa wanaume.”

“Nguvu za hasi ni mawazo mabaya, na nguvu za chanya ni mawazo mazuri. Nguvu za hasi ni Shetani, kwa vile Shetani ndiye anayeleta mabaya. Nguvu za chanya ni Mungu, kwa vile Mungu ndiye anayeleta mazuri. Katika dunia hii utapambana na Shetani lakini hutamshinda, kwani hapa ndipo anapotawala. Pambana na Shetani katika dunia ya kiroho, kwa maana ya maombi na utiifu kamili kwa Mwenyezi Mungu, kama unataka kuzishinda nguvu zake.”

“Mungu hakutuumba ili tuwe roboti, ambayo hufanya kazi kama ilivyoelekezwa. Alituumba ili tuwe huru. Yaani, tuwe na uwezo wa kuchagua mema au mabaya – ndiyo maana akaweka Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya katika Bustani ya Edeni – ndiyo maana akamtuma Shetani kuwajaribu Adamu na Hawa, wazazi wetu wa kwanza.”

“Angels are good not simply because they see bad as bad, but also because they see bad as corny.”

“Unabii ni uwezo alionao mtu wa kuongea mambo matakatifu ya Mungu, kuwaongoza wenzake katika njia njema. Mungu humwambia nabii kitu cha kusema na nabii huwambia wenzake kile ambacho Mungu amemwambia aseme. Mungu hawezi kuongea na watu mpaka watu wajue jinsi ya kuongea naye, na wakati mwingine ni rahisi sana kusikia ujumbe kutoka kwa mtu kuliko kuusikia ujumbe huo moja kwa moja kutoka kwa Mungu. Mungu anaweza kukwambia useme kitu fulani kwa mtu au watu fulani. Unaweza usijue kwa nini anakwambia ufanye hivyo, lakini utajisikia msukumo wa hali ya juu wa kutangaza ujumbe uliopewa kuuwasilisha. Mungu hatakulazimisha, lakini atakung’ang’aniza, na ni Mungu pekee anayejua lengo la mawasiliano hayo. Mungu akikwambia ufanye kitu fanya mara moja, usiulize kwa nini. Kazi yako ni kufanya unachotakiwa kufanya, kusema unachotakiwa kusema, si kuuliza maswali. Mtumie rafiki yako wa kiroho kukuongoza katika mema na mabaya, na usitambe – kwamba unaongea maneno uliyoambiwa na Mungu uyaongee. Ukiwa na uwezo mkubwa wa kuongea na Mungu utaleta mabadiliko katika dunia.”

“Cyber bullying occurs online daily. Most don't consider their actions or words to be bullying. Here's a few clues that you're a cyber bully. (1) You post information about someone in order to ruin their character. (2) You post threats to someone. (3) You tag someone in vulgar degrading posts. (4) You post any information intended to harm or shame another individual seeking to gain attention. Then, you are a cyber bully and need to get some help.”

“Hasira ni Shetani. Hekima ni Mungu. Kila kitu kimo ndani yetu. Hasira imo ndani yetu. Hekima imo ndani yetu. Atomu ni matofali ya ujenzi wa kila kitu ulimwenguni likiwemo jua na miili ya wanadamu. Ndani ya atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi. Kama miili yetu imetengenezwa na atomu na katika kila atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi, hivyo basi, tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri na tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mabaya. Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. Geuza hasira yako kuwa hekima kwa faida yako na kwa faida ya wengine.”

“We're a society of brats, fighting over the same toys. That, for me, is the closest we come to be inherently evil as a people. It leads to selfishness, inflexibility, and impatience -- among so many other traits that are ugly and harmful. We're combative, competitive, petty, and suffer from one fatal flaw that I can never get my head around. We recognize behavior in others that makes us insane, while turning right around and doing the exact thing to someone else.”

“Wait and wonder when we will return, mouse - then you will really see what a battle is like." Simeon turned his head in the direction of Graypatch's voice. "Alas, I will never see anything for I am blind; but I can sense a lot. I can feel you are both evil and desperate. They say you have only one eye. I am surprised at you—even a fool with half an eye could see that you will never triumph against good if you are evil.”

“что бы делало твое добро, если бы не существовало зла, и как выглядела бы земля, если бы с неё исчезли тени? Ведь тени получаются от предметов и людей. Вот тень от моей шпаги. Но бывают тени от деревьев и от живых существ. Не хочешь ли ты ободрать весь земной шар, снеся с него прочь все деревья и всё живое из-за твоей фантазии наслаждаться голым светом? Ты глуп.”

“We overcome the evil in the world by the charity and compassion of God, and in so doing we drive all evil out of our own hearts. The evil that is in us is more than moral. There is a psychological evil, the distortion caused by selfishness and sin. Good moral intentions are enough to correct what is formally bad in our moral acts. But in order that our charity may heal the wounds of sin in our whole soul it must reach down into the furthest depths of our humanity, cleaning out all the infection of anxiety and false guilt that spring from pride and fear, releasing the good that has been held back by suspicion and prejudice and self-conceit. Everything in our nature must find its right place in the life of charity, so that the whole man may be lifted up to God, that the entire person may be sanctified and not only the intentions of his will.”

“It may be a reflection on human nature, that such devices should be necessary to control the abuses of government. But what is government itself, but the greatest of all reflections on human nature? If men were angels, no government would be necessary. If angels were to govern men, neither external nor internal controls on government would be necessary. In framing a government which is to be administered by men over men, the great difficulty lies in this: you must first enable the government to control the governed; and in the next place oblige it to control itself.”

“As per the Indian philosophy of the Upanishads, the source of evil is one’s ego-sense –Ahankara—which differentiates oneself from the other selves. A person, who visualizes himself independent of others, tries to guard or please himself at the cost of others. Evil is thus the tendency of a person to live a life that is not ‘in harmony’ with the rest of the world, but ‘in opposition’ to it or at best ‘in indifference’ to it. The good is to discover the unity in the diversity of ‘all selves’ and beings. Once unity in diversity is realized, every being becomes our own self and good deeds follow automatically”

“It is said in the Upanishads: ‘I am the Universe.’ If you ask a hundred people as to how they find the world, they are all likely to give different answers. For some, the world is beautiful and the people are good, while for others, the world is extremely bad, and the people are treacherous and sinful. Why the same world is different for different people? It is so, because the outer world is the projection of our inner world. Therefore, the only way to improve the world outside is to improve the world within. While we may not have any control over the outside world, we can change our world within and thus change the world outside.”

“The purpose of evil is to complement the good. If there is no hatred in this world, there can’t be any love too. While love is a positive emotion, hatred is a negative emotion. Yet the feeling of love can’t exist in a person without invoking hatred. The more you are capable of loving, the more you are capable of hating, since the source of love and hatred is the same – passion. A man without passion can experience neither love nor hatred.”

“Everything in this world seems to be created in pairs. If there is a man, there is a woman—in almost equal numbers. In the same way, there is pleasure with pain, love with hatred, wisdom with ignorance, passion with repulsion, ecstasy with depression, and so on. The world seems to have been divided into two attributes—good and evil. Even God seems to be divided--God Himself and His counterpart—the Devil.”