“Katika maisha watu watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi.” PeopleLifeContemptIntrigueDiscouragingMaishaWatuSay NoSema HapanaA Lot Of YesesNdiyo NyingiFitinaKukatisha TamaaKurubuni Author:Enock Maregesi
“Yesu aliishi maisha yake yote chini ya utawala wa kidikteta lakini hakuandamana. Kwa nini sisi leo?” LifeJesusMaishaYesuDictatorship RuleUtawala Wa Kidikteta Author:Enock Maregesi
“Uzima wa milele si mchezo wa kubahatisha! Kila mtu atalipwa kulingana na matendo yake, mema au mabaya, na huo uzima wa milele atapewa yule atakayetenda mema maisha yake yote.” LifeActionsEternal LifeLotteryMaishaGood Or EvilMatendoMema Au MabayaUzima Wa MileleMchezo Wa Kubahatisha Author:Enock Maregesi
“Tunapaswa kujisikia furaha kuu tunapokumbana na majaribu mbalimbali katika maisha yetu, tukijua kwamba kujaribiwa kwa imani yetu hutufanya wavumilivu na wapiganaji katika Jina la Yesu, na tunapaswa kuruhusu uvumilivu katika maisha yetu kwa sababu Mungu hutumia uvumilivu huo kutukomaza na kutukamilisha.” LifeGodHappinessJoyFaithFightingPerseveranceTrialsMatureMunguCompleteMaishaImaniFurahaUvumilivuMajaribuIn The Name Of JesusKamilikaKomaaKatika Jina La YesuUpiganaji Author:Enock Maregesi
“Kuna maisha baada ya saa tisa na nusu. Kuwa makini na raia.” PeopleLifeMaishaRaia3 30 PmSaa Tisa Na Nusu Author:Enock Maregesi
“Mahatma Gandhi alipigwa risasi na kufariki dunia baada ya maisha yake kumfelisha. Lakini kifo chake kiliipatia India uhuru kutoka Uingereza. Hivyo, akafanikiwa.” LifeIndiaEnglandMaishaBulletMahatma GandhiRisasiUingereza Author:Enock Maregesi
“Tengeneza maisha ya mwanao kwa kuongea naye maneno mazuri anapokuwa tumboni mwako, na anapokuwa ananyonya akikuangalia machoni.” LifeGood WordsMaishaMwanaoManeno MazuriYour Child Author:Enock Maregesi
“Sikujui.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestUniquenessBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi Author:Enock Maregesi
“Usiwapoteze marafiki zako wa mwanzo kwa sababu ya ujinga wako, wala usiwaache marafiki zako wa mwanzo kwa sababu ya ujinga wao.” LifeHappinessFriendshipSadnessWorstFriendsGoldLikesFormerSilverBestBest FriendsBetterOld FriendsNew FriendsFriendship True And LoyalWeaknessesStrengthsDislikesInside JokesFriendship ToleranceOld FriendshipsBest Friends Broken Author:Enock Maregesi
“Marafiki zako wa mwanzo ni wazuri kuliko wote.” LifeHappinessFriendshipSadnessWorstFriendsGoldLikesFormerSilverBestBest FriendsBetterOld FriendsNew FriendsFriendship True And LoyalWeaknessesStrengthsDislikesInside JokesFriendship ToleranceOld FriendshipsBest Friends Broken Author:Enock Maregesi
“Marafiki zako wa mwanzo ambao bado ni marafiki zako mpaka sasa ni wazuri kuliko wote kutokana na sababu mbalimbali: Wamekuwepo pamoja nawe katika shida na raha; wanakujua vizuri unapokuwa na furaha, na wanakujua vizuri unapokuwa na huzuni; mmezoeana kwa miaka mingi na wanaujua hata utani wako wa ndani; wanajua nini unapendelea zaidi na nini hupendelei zaidi, na wanazijua sifa zako za ushupavu na sifa zako za udhaifu. Hata hivyo, katika maisha yetu, tunahitaji marafiki wa aina zote mbili kurahisisha maisha. Marafiki wapya hutuongezea viungo muhimu katika maisha yetu wakati marafiki wa mwanzo ni nguzo au miamba imara ya maisha yetu, na ndiyo watu hasa watakaotusaidia katika shida na raha! Usiwapoteze au usiwaache marafiki zako wa mwanzo lakini jenga mahusiano mapya. Marafiki zako wa mwanzo ni dhahabu, wa sasa ni fedha.” LifeHappinessFriendshipSadnessWorstFriendsGoldLikesFormerSilverBestBest FriendsBetterOld FriendsNew FriendsFriendship True And LoyalWeaknessesStrengthsDislikesInside JokesFriendship ToleranceOld FriendshipsBest Friends Broken Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. Zifuatazo ni ngazi tano muhimu zitakazofanya uache dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta: Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka; Tumia kipaji ulichopewa na Mungu; Fanya kazi kwa bidii na maarifa; Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia; Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tumia kipaji ulichopewa na Mungu.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Fanya kazi kwa bidii na maarifa!” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Kufanikiwa katika maisha lazima kitu fulani ambacho si cha kawaida kitokee katika maisha yako, bila kujali uko upande wa Yesu au upande wa Shetani. Kufanikiwa katika maisha ni sawa na kwenda mbinguni, au kuishi mbinguni duniani. Kitu ambacho si cha kawaida kutokea katika maisha yako ni sawa na kifo. Fanya kitu ambacho hujawahi kufanya kupata kitu ambacho hujawahi kupata.” LifeSuccessDeathJesusHeavenJesus ChristExtraordinarySatanHeaven On EarthShetaniMaishaYesu KristoYesuMafanikioKifoMbinguniAjabuMbinguni Duniani Author:Enock Maregesi
“Adam Kuambiana umerudi nyumbani ulikotoka, ukiongozwa na imani na mwanga wa wale uliowapenda na kuwapoteza. Hatuwezi kukumbuka kwamba umetutoka bila kukumbuka kwamba uliishi, na kwamba maisha yako yalitupa kumbukumbu nzuri tusizoweza kuzisahau haraka. Jumanne, siku ya kuuaga mwili uliokuwa ukitumiwa na wewe, wengine watasema Kwa heri lakini mimi nitasema Asante! Asante kwa sababu ya kipaji chako. Asante kwa sababu ya kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wako wote, kutoa sauti kwa wale wote waliokuwa hawawezi kusikika. Asante kwa sababu ya kuacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta wakati ukiingia, na Asante kwa sababu ya maisha yako. Tukiendelea kuomboleza kifo cha Adam Kuambiana hapa duniani, wengine wanasherehekea kukutana naye huko mbinguni. Mchungaji wa uhai wa wote Mungu wa mbinguni ailaze roho yake mahali pema peponi: Yeye ni mwandishi wa hadithi ya maisha yetu na ndiye aliyeandika ukurasa wa mwisho wa hadithi ya Adam.” LoveLifeGodHomeLightDeathFaithLostHeavenVoiceMemoriesAudienceTalentMourningParadiseGoodbyeWriterStoryAdamThank YouMoviesTuesdayPhilipActorCelebrationsDirectorLast BreathLast ChapterLast PageAdam KuambianaAdam Philip KuambianaAdam S StoryBongo MoviesKuambianaLeave The World A Better PlaceShephard Author:Enock Maregesi
“Ni rahisi kushinda vita ya maisha na kuishi mbinguni duniani. Ni vigumu kushinda vita ya dhambi na kuishi mbinguni paradiso.” WorldLifeWarGodEarthHeavenSinBattleJesus ChristParadiseAmerican DreamHeaven On EarthBattlefieldDream Life Author:Enock Maregesi
“Hakuna uponyaji pasipo imani ya kweli. Giza linapoingia katika maisha yako ongea na Mungu. Halafu ongea na tatizo linalokusumbua. Kama tatizo linalokusumbua ni saratani, iambie saratani iondoke na kamwe isirudi katika mwili wako tena. Baada ya hapo, nenda kwa mchungaji. Jiweke wakfu, kwanza, kabla ya kuombewa.” LifeProblemBodyHealingDarknessCancerPastorTrue FaithMaishaShepherdMwiliOrdainedTalk To GodGizaImani Ya KweliWakfuMchungajiTatizoOngea Na MunguOngea Na TatizoSarataniSpeak To The ProblemUponyaji Author:Enock Maregesi