Maisha Quotes
Browse 88 quotes about Maisha.
Maisha Quotes
Source: Rise Up and Salute the Sun: The Writings of Suzy Kassem
“Kila mtu anapaswa kuwa na siri angalau moja katika maisha yake.”
“Yesu wakati anakufa msalabani hakufikiria kifo. Alifikiria maisha.”
“Ukitaka kuwa na mashabiki fanya kitu ambacho si cha kawaida katika maisha yako, kila siku.”
“Kuna maisha baada ya saa tisa na nusu. Kuwa makini na raia.”