“Usipoangalia kwa undani sana, mapepo wanatutawala kwa sababu hatuna uwezo wa kuwaona. Aidha, wanaweza, bila hata sisi kujua, kuwasiliana nasi kimawazo na kitabia kupitia hewa hiihii inayotusaidia katika kuishi. Watu wengi katika dunia hii hawajui kama wanadanganywa au walishadanganywa tayari. Shetani na mapepo wake hawataki tujue kama wanatudanganya au wameshatudanganya tayari, na hawataki tujue kama wako hapa kwa ajili ya kutudanganya sisi. Tunajua tu kwa sababu Neno la Mungu hudhihirisha ukweli huu kupitia Roho Mtakatifu na malaika wema, na tunauamini. Licha ya hili jambo kutokea katika maisha yetu, Shetani bado anaweza kutudanganya hadi pale tutakapoerevuka kwa kiasi cha kutosha kuhakikisha kwamba udanganyifu huo hautatokea tena.” PeopleWorldAirSatanHoly SpiritWord Of GodDemonsDuniaShetaniWatuRoho MtakatifuHewaGood AngelsMalaika WemaNeno La MunguMapepo Author:Enock Maregesi
“Hata hivyo, Shetani anaweza kutudanganya kupitia tamaduni zetu tulizozaliwa nazo. Utamaduni, dunia tunapoishi, ndiyo chanzo cha udanganyifu huu. Yesu Kristo alikufa msalabani ili tupate uhuru kutoka kwa Shetani. Chukua hatua sasa kwa sababu Shetani anaweza kukuteka, na kukufanya mtumwa tena.” PeopleWorldCultureFreedomAirSourceJesus ChristSlaveSatanHoly SpiritDeceitWord Of GodDemonsDuniaShetaniWatuYesu KristoRoho MtakatifuUhuruHewaUtamaduniGood AngelsMalaika WemaNeno La MunguMapepoMtumwaUdanganyifuChanzoOur CulturesTamaduni Zetu Author:Enock Maregesi
“Shetani lengo lake ni kutawala dunia. Huwezi kutawala dunia bila elimu!” WorldPurposeEducationSatanDuniaShetaniElimuLengo Author:Enock Maregesi
“Shetani ni mjanja sana. Anajua bila elimu hataweza kutawala dunia, baada ya mpango wa Mungu kukamilika. Anajua, mtu akipata elimu ni rahisi sana kujua kama Shetani hayupo. Hivyo Shetani atatimiza malengo yake bila watu kujua.” WorldGodEducationSatanMunguDuniaShetaniElimu Author:Enock Maregesi
“Shetani ni mungu wa dunia hii kwa wale wasiomwamini Mungu. Kwa wale wanaomwamini Mungu, Mungu ndiye Mungu wa dunia hii.” WorldGodSatanMunguDuniaShetaniBelievers In GodNone Believers In GodWanaoamwamini MunguWasioamwami Mungu Author:Enock Maregesi
“Ukila kiapo fanya kile ulichoahidi katika kiapo, si kinyume chake hata kidogo, hata kama dunia haitakubaliana na wewe.” WorldYouOathDoDuniaWeweFanyaKiapo Author:Enock Maregesi
“Kuleta mabadiliko katika dunia si lazima upate nafasi katika dunia. Kuleta mabadiliko katika dunia leta mabadiliko katika nchi yako.” WorldCountryChangePlaceDuniaNchiMabadilikoNafasi Author:Enock Maregesi
“Tajiri asiyesoma lakini anayejali mambo ya ufalme wa Mungu kuliko anavyoijali dunia au yule aliyesoma lakini anayejali mambo ya ufalme wa Mungu kuliko anavyoijali dunia ni msomi. Anaweza kuuona ufalme wa Mungu.” WorldRichEducatedDuniaTajiriGod S KingdomMsomiUfalme Wa Mungu Author:Enock Maregesi
“Mwili wako una uwezo wa kujua kabla yako kitakachotokea baadaye. Kama una njaa kwa mfano, mwili wako utakwambia. Kama una kiu, mwili wako utakwambia. Kama unaumwa, mwili wako utakwambia. Kama kuna kitu kibaya kinatarajia kutokea katika maisha yako au katika maisha ya mtu mwingine, mwili wako utakwambia. Kuwa makini na alamu zinazotoka ndani ya mwili wako, kwani hizo ni ishara za Roho Mtakatifu kukuepusha na matatizo ya dunia hii.” WorldLifeBodyDiseaseManProblemsSignalsThirstySignsOmenDuniaMaishaDaemonMtuMatatizoMwiliRoho MtakatifuHangerUgonjwaAlamuKiuNjaaDaliliIsharaJakamoyo Author:Enock Maregesi
“Dunia imekata tamaa. Matatizo ya watu yamekuwa makubwa kuliko ukombozi wa maisha yao. Sekunde moja ya toba inaweza kukupa ufalme wa mbinguni. Hujachelewa.” PeopleWorldLifeSalvationRepentanceProblemsKingdom Of HeavenDuniaMaishaWatuSecondMatatizoSekundeDunia Imekata TamaaUfalme Wa MbinguniWorld Has Given UpTobaHujachelewaUkomboziYou Are Not Late Author:Enock Maregesi
“Unapofikia hatua ya kuwa na kila kitu katika maisha, unapokuwa umefanya kila kitu ulichotamani kufanya katika maisha, unakuwa na bahari nzima ndani ya tone ambalo ni wewe. Unaridhika. Wewe si tone tena ndani ya bahari, wewe ni bahari ndani ya tone. Kinachobaki baada ya hapo ni kusaidia jamii iliyosaidia kukulea ulipokuwa mdogo, kuacha alama katika dunia kabla na baada ya wewe kuondoka, bila kujali watu watasema nini juu ya maisha yako.” PeopleWorldSocietyOceanToneYouDuniaWatuDropWeweJamiiBahariBahari Ndani Ya ToneEverything In LifeKila Kitu Katika Maisha Author:Enock Maregesi
“Mbegu zilizopandwa kwenye udongo wenye rutuba ni rahisi sana kuvamiwa na magugu iwapo mwenye bustani hataipalilia bustani yake kila siku. Kila siku tunapaswa kupalilia bustani zetu za kiroho, kuondoa magugu ambayo ni raha za dunia hii.” WorldGardenSeedsSoilDuniaWeedsMbeguUdongoBustaniMagugu Author:Enock Maregesi
“Yesu Kristo wa Nazarethi ni mtu mashuhuri zaidi kuliko wote kuwahi kukanyaga ardhi ya dunia hii. Alikufa majira ya saa 9 kamili za mchana, siku ya Jumatano, katika kipindi cha demani cha AD 31. Saa chache baadaye, jua lilipokuwa likizama, alilazwa katika kaburi jipya la Yusufu wa Arimathaya. Katika siku ya kawaida ya Sabato, Jumamosi, siku tatu kamili baada ya mazishi yake, Mungu Baba alimfufua Mtoto Wake kwa ajili ya uzima wa milele.” WorldWednesdayDuniaSabatoJesus Christ Of NazarethJumatanoAd 31Joseph Of ArimatheaYesu Kristo Wa NazarethiYusufu Wa Arimathaya Author:Enock Maregesi
“Sikujui.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestUniquenessBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii. Zifuatazo ni ngazi tano muhimu zitakazofanya uache dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta: Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka; Tumia kipaji ulichopewa na Mungu; Fanya kazi kwa bidii na maarifa; Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia; Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Ukitambua vitu vya muhimu katika maisha yako hapa duniani na kuvipa kipaumbele cha kwanza, ukatumia kipaji ulichopewa na Mungu na ukafanya kazi kwa bidii na maarifa, halafu ukashindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia, ukafanya kila kitu kwa makini ukihofia maamuzi ya ubongo wako, utaacha urithi kwa faida ya vizazi vijavyo. Kuwa na akili, kuwa na uwezo wa kujiwekea malengo, kuwa mchapakazi hodari. Namna hiyo, hakuna kitakachoweza kushindikana.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Sikujui. Lakini naamini hungependa kuishi maisha yako hapa duniani bila kuacha urithi au kumbukumbu ya aina yoyote katika jamii.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tambua vitu vya muhimu katika maisha yako ijapokuwa unaweza kuacha alama katika dunia bila kujitambua baada ya kuondoka.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Kuwa makini na kila kitu unachofanya kwa maana ubongo ni kitu cha ajabu, ubongo una uwezo wa kukupotosha.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Tumia kipaji ulichopewa na Mungu.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Fanya kazi kwa bidii na maarifa!” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.” WorldLifeGodFunnyBrainStepsKnowledgeSocietyIndustryMarkCompetitionMemoryLegacyLiveBestBetter PlaceTalentsDistortionThingsHardworkingCarefulnessKolonia SantitaEnock MaregesiEnockMaregesiLaanaEnock Abiud MaregesiKoloniaAbiudPantheraSantitaTigrisiI Don T Know YouLaana Ya Panthera Tigrisi88 Author:Enock Maregesi
“Heri kuwa maskini kwa miaka mingi duniani na kuwa tajiri wa milele mbinguni kuliko kuwa tajiri kwa miaka mingi duniani na kuwa maskini wa milele ahera.” WorldHeavenPoorHellWealthyEverMaskiniTajiriMbinguniDunianiMany YearsMileleAheraMiaka Mingi Author:Enock Maregesi
“Utajiri wa mbinguni ni wa milele na mungu wake ni Yehova. Utajiri wa duniani ni wa muda na mungu wake ni Mammon. Mammon, ambaye hata Yesu alimtaja katika Injili ya Mathayo 6 na katika Injili ya Luka 16, ni mungu wa uchoyo na utajiri wa dunia hii. Mammon kazi yake ni kufanya watu waliokufa kifedha na walio hai kifedha kuwa maskini wa milele ahera. Yesu Kristo alikuwa maskini, ili tuwe matajiri kupitia umaskini wake, lakini kwa sababu alikuwa na imani ya Mungu katika moyo wake alikuwa tajiri. Hivyo unaweza kuwa na utajiri wa mbinguni hapa duniani, ukiikaribisha amani ya Mungu katika moyo wako.” WorldHeartGodTimeJesusHeavenPeaceWealthPoorPovertyHellJesus ChristGreedWealthyGospelJehovahMunguDuniaEverAmaniYesu KristoYesuMaskiniTajiriMoyoMudaMbinguniUtajiriInjiliDunianiMammonUmaskiniMileleMatajiriAheraGod S FaithUchoyoYehovaImani Ya MunguLuka 16Luke 16Mathayo 6Matthew 6 Author:Enock Maregesi
“Mammon ni mungu wa pesa wa kuzimu anayesimamia mambo yote ya kifedha ulimwenguni. Ni miongoni mwa mashetani saba waliotupwa na Mwenyezi Mungu hapa duniani kutokea mbinguni akiwemo Ibilisi, Beelzebub, Asmodeus, Leviathan, Amon na Belphegor. Ibilisi ni mungu wa kiburi, Beelzebub ni mungu wa uroho, Asmodeus ni mungu wa zinaa, Leviathan ni mungu wa wivu, Amon ni mungu wa hasira na Belphegor ni mungu wa uvivu. Jukumu la mashetani hawa ni kusimamia kwa uaminifu mkubwa kutokea kuzimu dhambi kubwa saba duniani ambazo ni kiburi, uroho, zinaa, wivu, hasira, uvivu na uchoyo. Dawa ya dhambi hizo ni busara, kiasi, ujasiri, imani, haki, tumaini na upendo.” WorldLoveGodFaithHopeHeavenJusticeCourageHellHonestyPrideCharityLustWrathPrudenceFortitudeSlothTemperanceAlmighty GodMunguLuciferGluttonyLeviathanSeven Deadly SinsImaniMwenyezi MunguUpendoAsmodeusMbinguniHasiraHakiDunianiKiburiMammonIbilisiUaminifuUvivuAmonUjasiriBeelzebubBusaraKiasiKuzimuMalicious EnvyWivuBelphegorTumainiUrohoZinaaDhambi Kubwa SabaGod Of MoneyJukumu La MashetaniMashetani SabaMungu Wa PesaRole Of DevilsSeven Devils Author:Enock Maregesi
“Wachawi wanamwabudu Shetani. Lakini Shetani wanayemwabudu si Shetani Ibilisi aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu kuja kuudanganya ulimwengu wote. Ni Shetani roho ya mabadiliko, mabadiliko ya kweli, ya ufahamu kamilia ulimwengu huu ambamo sisi sote tunaishi. Wachawi, kwa maneno mengine, wanaabudu miungu – kama vile Inanna wa Mesopotamia, Isis wa Misri, Asherah wa Kaanani au Belus wa Assyria ambaye ndiye mungu wa kwanza kuabuadiwa kama sanamu duniani – iliyotwaliwa na Shetani tangu misingi ya ulimwengu huu kusimikwa. Dhambi aliyotenda Shetani mbinguni ni ndogo kuliko dhambi wanazotenda wachawi duniani, ijapokuwa dhambi aliyotenda Shetani haitaweza kusamehewa na ndiyo maana Shetani hataweza kuwasamehe wanadamu. Ni jukumu letu kuwaita wachawi wote kutoka Babeli na kuwaleta katika ukweli kama kweli wanayemwabudu ni Shetani Ibilisi, Shetani Beelzebub, Shetani Asmodeus, Shetani Leviathan, Shetani Mammon, Shetani Amon au Shetani Belphegor ambao ni mabingwa wa kiburi, uroho, zinaa, wivu, fedha, hasira na uvivu duniani. Wachawi hawajui, na usipojua waweza kufa bila kujua.” WorldHumansGodTruthUniverseHeavenSinMoneyPrideLustIdolsDieGodsWitchesWrathWizardsSlothAlmighty GodMunguLuciferGluttonyReal ChangeBabylonLeviathanStatueDhambiUlimwenguMwenyezi MunguUkweliAsmodeusMbinguniHasiraWanadamuDunianiKiburiMammonKufaIbilisiUvivuWachawiAmonComplete UnderstandingBeelzebubFoundations Of This UniverseMiunguIsis Of EgyptMalicious EnvySanamuSpirit Of ChangeWivuAshera Of CanaanBabeliBelphegorFedhaMabadiliko Ya KweliRoho Ya MabadilikoUfahamu KamiliUrohoZinaaAsherah Wa KaananiBelus Of AssyriaBelus Wa AssyriaInanna Of MesopotamiaInanna Wa MesopotamiaIsis Wa MisriMisingi Ya Ulimwengu Huu Author:Enock Maregesi
“Shetani alikuwa malaika aliyeumbwa na Mungu lakini baadaye akamwonea Mungu wivu, wivu wa madaraka, hivyo Mungu akamtupa duniani kwa sababu ya kupingana na utawala wake mtakatifu. Duniani Shetani akamtumia nyoka kama mdakale kumdanganya Hawa. Hawa na Adamu wakamsikiliza Shetani badala ya kumsikiliza Mungu, nao wakalaaniwa. Shetani akajidai kuwa alikuwa na uwezo wa kufanya uzao wote wa Adamu na Hawa uwe mbali na Mungu, hivyo Mungu akampa muda wa kujaribu na kuthibitisha madai yake, lakini Shetani mpaka leo bado hajafanikiwa. Wakiitawala dunia leo kwa udanganyifu wa hali ya juu, pamoja naye, ni baadhi ya malaika ambao Shetani alifanikiwa kuwalaghai huko mbinguni. Mungu akawalaani pia na kuwatupa huku duniani, ambako Shetani alipapenda zaidi.” WorldGodTimeHeavenPowerClaimsEnvySatanDeceitAdamAngelsOffspringSerpentMunguRuleDuniaShetaniEveMouthpieceMudaMbinguniMalaikaAdamuHawaMadarakaUtawalaNyokaWivuUdanganyifuUzaoMadaiMdakaleRightful RulershipUtawala Mtakatifu Author:Enock Maregesi
“Ni rahisi kushinda vita ya maisha na kuishi mbinguni duniani. Ni vigumu kushinda vita ya dhambi na kuishi mbinguni paradiso.” WorldLifeWarGodEarthHeavenSinBattleJesus ChristParadiseAmerican DreamHeaven On EarthBattlefieldDream Life Author:Enock Maregesi
“The whole world is full of darkness! To penetrate you must be brave.” WorldDarknessBrave Author:Enock Maregesi
“Dunia nzima imejaa giza! Kupenya lazima uwe jasiri.” WorldDarknessBraveryDuniaGizaUjasiri Author:Enock Maregesi