Quotessence
Home / Quotes / U Quotes

U Quotes

Browse famous quotes beginning with U. This page is a child index of the full Popular Quotes A-Z directory.

All U Quotes

“Ujmując rzecz po grubiańsku, piłka nożna i sport są „istotne"; zaś moda i kupowanie strojów - „trywialne". I te wartości nieuchronnie zostają przeniesione do literatury. Oto ważna książka, zakłada z góry krytyk, ponieważ traktuje o wojnie. A oto książka nieistotna, bo mowa w niej o uczuciach kobiet w bawialni. Scena z pola bitwy jest ważniejsza niż scena ze sklepu - różnica wartości zaznacza się wszędzie, choć często znacznie subtelniej.”

“UK professional astronomy worked differently from USA professional astronomy. When I told my UK employer I was going to work for another company, they did everything to help me transfer smoothly. When my USA employer found out I was leaving for another company, they took me into numerous surprise harassment meetings for my ‘voluntary’ resignation!”

“Ukanda wa Gaza ni jimbo lenye miji minne na kambi mbalimbali za wakimbizi za Umoja wa Mataifa – lenye urefu wa kati ya kilometa 41 au maili 25 na lenye upana wa kati ya kilometa 6 mpaka 12 au maili 3.7 mpaka 7.5, pamoja na eneo la jumla la kilometa za mraba 365 au maili za mraba 141. Jimbo hili liliwahi kutawaliwa na Wamisri, Wakaanani, Waisraeli, Wasiria, Wababelonia, Wagiriki, Warumi, Waturuki, Waingereza, na Wapalestina, na limekuwa uwanja wa vita kwa karne nyingi kwa sababu za kidini na kihistoria. Ukanda wa Gaza uko chini ya Palestina. Uko chini ya serikali ya Hamas.”

“UKIFANYIWA UBAYA JARIBU KUEPUKA KURUDISHIA UBAYA NA KUENDELEA NA MAISHA YAKO. HII NI NGUMU KWA WATU WA KAWAIDA KWA SABABU HAWAISIKII SAUTI YA MUNGU NA NI WAOGA KUISHI PEKE YAO. LAKINI UKIPENDA NA KUSIKILIZA SAUTI YA IMANI YAKO NI LAZIMA UTAISHI KWA FURAHA NA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKO. CHA MSINGI NI KUJUWA MUNGU AMEKUCHAGUWA NA NGUVU ULIYONAYO INAOGOPESHA WENGI ILA UKIWA NAO INAWAPA AMANI NA MWONGOZO WA FURAHA KWENYE MAISHA NA KUWAPONYA N.K UWEPO WAKO SEHEMU UFANYA HTA WANYAMA WATOTO KUDHANIA YA KWAMBA WANAKUJUWA INGAWA HAWAKUJUWI . ZINGATI KUFANYA KAZI UNAYOIPENDA KWANI NDIYO SABABU YA WEWE KUISHI KWENYE MAISHA YA AMANI ALIYO KUPA MWENYEZI MUNGU . YA ©️Kennedy S Mmbando 2025 ...yiya”

“Ukifuata kanuni ya nguvu ya uvutano uhitaji kujua jinsi utakavyofanikiwa. Kazi yako ni kuwaza tu kwa namna inavyotakiwa. Waza na amini kwa asilimia mia moja. Mengine yote mwachie Mungu au ulimwengu. Mungu pekee ndiye anayekupa njia na bahati, ili wewe ufanikiwe. Atakupa nguvu ya kufanya kazi na ujanja wowote utakaohitajika, katika harakati hizo za mafanikio yako.”

“Ukiishi Mexico City katika daraja la watu wakubwa na wewe na anasa ni marafiki wakubwa, hutapenda kuendesha gari ambayo kila mtu anaendesha mjini. Nunua gari na kuibadilisha kuwa ya kwako. Lisa aliponunua gari yake huko Ejército Nacional Mexicano, Mexico City, katika duka la Ferrari, aliipeleka Los Angeles kwa marekebisho aliyoyataka. Ferrari haikuwa ya kawaida. Mbali na kinga ya risasi ya inchi nne, Ferrari ya Lisa ilikuwa na mwendo mkali na matairi makubwa kuliko Ferrari za kawaida. Ilikuwa na rangi tatu: nyeusi, pinki na njano zilizokuwa zikibadilika kulingana na hali ya hewa; na kadhalika ilikuwa na breki ya upepo kwa nyuma, katika buti ya aluminiamu, kwa ajili ya kuikandamiza chini wakati wa mwendo mkali, ili isiyumbe sana barabarani. Lisa peke yake ndiye aliyekuwa na gari ya namna hiyo Mexico City nzima.”

“Ukipata matatizo kumbuka kwamba Yesu alipata matatizo pia, na kutokana na matatizo hayo mimi na wewe tulipata uhuru. Soma Biblia. Soma nyimbo katika kitabu cha Zaburi zinazomsifu Mungu katika kipindi cha matatizo. Funga na kuomba ukiamini kwamba mapenzi ya Mungu kwetu ni huru, yasiyokuwa na masharti yoyote. Toa msamaha kwa waliokukosea. Ni kitu cha muhimu kujilimbikizia imani katika kipindi cha amani, ili matatizo yakitokea usiweze kuyumba.”