K Quotes
Browse famous quotes beginning with K. This page is a child index of the full Popular Quotes A-Z directory.
“Kuwa mkarimu kwa mazingira, kuwa mkarimu kwa wanyama, kuwa mkarimu kwa binadamu wenzako, kwa faida ya vizazi vijavyo.”
“Kuwa mkristo wa kanisa au wa dini ni kughushi imani – na kughushi imani ni dhambi kubwa.”
“Kuwa mwangalifu unapoongea na watu. Huwajui!”
“Kuwa na huruma kwa malaika anayekulinda ni kujifunika kwa silaha kamili ya Mungu. Ukijifunika kwa panoplia utamrahisishia kazi malaika wako, aliyepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kukulinda.”
“Kuwa na kiasi katika matarajio yako. Hatuna uwezo wa kuona mambo kama Mungu anavyoyaona.”
“Kuwa na uraibu wa mafanikio, si wa dawa.”
“Kuwa na utulivu na upole haimaanishi wewe ni dhaifu. Watu kama hao wanaonyesha kina, nguvu za ndani zilizo chini ya udhibiti. Ni kujua wakati wa kuzungumza na wakati wa kusikiliza; wakati wa kuchukua hatua na wakati wa kusubiri. Usiwadharau watu hao. Wanatembea duniani kwa nguvu kubwa zaidi!”
“Kuwa teja wa mafanikio.”
“Kuwait has been a safeguard for who remained inside her, unaffected from the dangers that surround them, loyal to this land, and loving her soil, and believing the justice of her cause.. Also, Kuwait was the hope for the ones outside, where they continued to strive by gathering all the forces for her right, without these two wings, the state would have been another state.”
“Kuwait is an origin, and her regulations are branches, so be devoted to the origin, the roots will be insured.”
“Kuwait is our haven which God has given us, the home he granted us.. Kuwait is our origins and branches, security and resolution, protection and glory.. The past, present and future.”
“Kuwait is the mother and father, Earth and it's supplies. She is the past, present and future.”
“Kuwait is the origin which our roots extend in it's base. The fort that we seek for shelter and stick to after God Almighty. Kuwait is the entity that maintains our presence that's united in it's features and divisions.”
“Kuwait needs tougher guarding. Guarding that's not limited to weapons, soldiers and border control, but extends to every Kuwaiti soul with awareness, vigilance and anticipation”
“Kuwait will continue to be the final goal, her words will keep being the standing point.. Who works for her, nurtures her rights, protects her , and puts her before himself, will be in God's highest ranks.”
“kuwajua wengine ni hekima, kujijua mwenyewe ni maarifa makubwa”
“Kuwepo kwa Mti wa Uzima wa Milele katika Bustani ya Edeni (pamoja) na Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya inamaanisha, Adamu na Hawa walikuwa hai kiroho mpaka walipokula tunda la mti wa katikati ambapo hali yao ya maisha ilibadilika. Adamu na Hawa walikufa lakini hawakufa – walikufa baadaye kabisa. Hii inamaanisha kwamba (haya ni mawazo yangu tu) mtu anapokufa anakuwa amekula tunda la mti wa katikati, litakalomwezesha kuendelea kuishi katika hali nyingine ya maisha ambayo sisi hatuijui.”
“Kuybi ~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~~ v365,kr, ~"
시알리스,시알리스파는곳 ~ v365,kr, ~ 시알리스가격,시알리스효과"
시알리스,시알리스파는곳 ~ v365,kr, ~ 시알리스가격,시알리스효과”
“Kuyumculuk ve mücevheratçılık, insanların muhayyilesinin kendini özgür zannettiği sanatlardır küşkusuz. Ama en ipe sapa gelmez fanteziler bile, dünyanın bir parçası olan ve dünyayı dışarıdan tanımadan önce, salt yaratıcılık ürünü eserler verdiğini zannederek dünya gerçekliklerinin birkaçını kendi içinde seyre dalan insan zihninin ürünüdür. z”
Source: We Are All Cannibals: And Other Essays
“Kuzaliwa ni heshima kubwa tulivyopewa sisi wanadamu. Tafuta nafasi katika nchi yako, kuacha alama katika dunia.”
“Kuş kafesini boşalt, akvaryumunu boşalt! Sevmek, özgürlük vermektir; sevmek, hapishaneleri reddetmektir!”
“Kuşkusuz ki, bu türden mülahazaların üzerine, en büyük bilgeliğin, şimdiki anın keyfini çıkarmak ve bu keyfi hayatın amacı haline getirmek olduğu yolunda bir teori bina edebilirsiniz, çünkü şimdiki an gerçek olan tek şeydir ve geri kalan her şey ancak hayalidir. Öte yandan bu tür bir hayat tarzına en büyük aptallık da diyebilirsiniz: Zira bir anda var olmayı kesen, bir rüya gibi tamamen yok olup giden bir şey, asla ciddi bir çabaya değmez.”
“Kuşlar gibi gökyüzüne şarkı söyle,
Yağmur gibi sarıl toprağı.
Rüzgar gibi ruhlara dokun,
Güneş gibi öp dünyayı.”
Source: Yüz Şiirlerin Yüzüğü (Ring of 100 Poems, Bilingual Edition): 100 Turkish Poems with Translations
“Kuşlar kanatlarıyla uçarlar, insanlar mutluluklarıyla!”
“Kuşlarsız bir gezegen meleksiz bir gezegendir!”
“Kuşların, Ay’ın ve bulutların önemli bir görevi var: İnsanlığın gözlerini gökyüzüne çevirmesini sağlamak! Böylece insan kendi küçük yerel dünyasını terk edebilir ve daha büyük bir şeye, evrene odaklanabilir!”
“kuşların dilinde dünyaya,
"bir kılın bile kendisine ev bulamadığı yer" derler”
Source: Küpeli
“Kuşların hayal gücü bizden ileriydi, çünkü biz kuşlar gibi gökyüzüne yükselmeyi hayal ederken onlar Ay'a gitmeyi hayal ediyorlardı!”
“Ku’Sox was indeed a demon. In. The. Sun. I needed answers, but I wanted them from Al, not…Cute Socks here.”
“Kvetha, Shur'tugal Greetings, Dragon Rider”
“Kvinden var menneske, den ene halvdel av menneskeheten, men mandfolk det var nu kvinden ikke!”
Source: Redaktør Lynge
“Kvôli láske ľudia bojujú, obetujú sa a zomierajú. Takže áno, je základom dobrého vzťahu, hoci je nemerateľná. Čo ťa udrží vo vzťahu, keď príde kríza? Rozum nie, ten ťa pošle preč. Je to láska,“ pokrčí Leonard plecami. „Prečo o nej existujú milióny filmov a kníh? Je to hybná sila ľudstva. Láska k sebe, deťom, partnerovi, pokroku, vede, prírode, zvieratám. Nebol by si taký dobrý vo svojej práci, ak by si ju nemiloval. Dočerta, vážne si vieš predstaviť, ako budeš svojim deťom hovoriť, že ich matka bola rozumná voľba? Deti chcú byť produktom rodičovskej lásky, nie štatistickou pravdepodobnosťou.”
Source: Takmer dokonalá
“Kwa mfano, uko kwenye mashindano ya mbio za mita 100. Utakapofika kwenye kamba, mwisho wa hizo mita 100, utakuwa umechoka sana. Lakini kocha anakuhimiza uendelee mbele mita nyingine 50! Unaweza kufika ukiwa mzima au unaweza kufika ukiwa umezimia. Lakini usijali. Ukiendelea mita nyingine 50 utakuwa umetumia uwezo wako wote uliopewa na Mwenyezi Mungu. Ukitumia kanuni hiyo katika maisha yako ya kawaida utaweza kufanikiwa.”
“Kwa mwanamke wa kuoa natafuta hasanati. Akiwa mbaya atakuwa mzuri. Akiwa maskini atakuwa tajiri. Akiwa gumbaru atakuwa msomi. Akiwa mshamba atakuwa mjanja. Akiwa mjinga atapata maarifa. Nitampenda zaidi kwa mazuri kuliko mabaya.”
“Kwa nini Biblia imejaa mafumbo? Biblia imejaa mafumbo kwa sababu akili za watu bado hazijakomaa kuupokea ukweli. Yesu na waandishi wote wa Biblia waliongea na kuandika kimafumbo, ili Neno la Mungu lijidhihirishe lenyewe kiroho katika mawazo ya mtu.”
“Kwa nini mtoto mchanga anapokuwa ananyonya ziwa la mama yake, mara nyingi humwangalia mama yake machoni? Kwa sababu, licha ya macho kuonekana kitu cha ajabu kwake, mtoto mchanga, bila kujitambua, hutamani sana mama yake amwambie neno zuri atakalolitumia baadaye katika maisha yake atakapokuwa mkubwa. Maneno huumba. Ukimwambia mwanao kuwa anaonekana atakuwa jambazi, anaweza kuwa jambazi kweli atakapokuwa mkubwa; ukimwambia kuwa anaonekana atakuwa mwanasheria, anaweza kuwa mwanasheria kweli atakapokuwa mkubwa.”
“Kwa nini tuseme a.k.a na si k.k.k au k.n.k au k.a.k? Lazima tujifunze kuipenda na kuitetea lugha yetu kwa usumbufu wa vizazi vijavyo.”
“Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya mtu baada ya mtu kufariki? Kwa nini watu wana kawaida ya kuona thamani ya pumzi katika kipindi ambacho mtu hana uwezo tena wa kuvuta hewa? Nini thamani ya pumzi? Thamani ya pumzi ni kukufanya uwe wewe na si udongo.”
“Kwa sababu ya kutofautiana kati ya Mungu na ulimwengu huu, dunia hii haiwezi kuwa dunia ambayo Mungu alijitolea Mwanawe wa pekee.”
“Kwa sababu ya udadisi wa hali ya juu nasoma kila kitu ninachokutana nacho hasa vile visivyonipendeza. Ukitaka kupata maarifa usisome tu vitabu vinavyokupendeza. Soma vitabu visivyokupendeza.”
“Kwa sababu za kijiografia, Copenhagen iko mbele kwa masaa 9 (PST) kuilinganisha na Tijuana (kaskazini-magharibi mwa Meksiko) na masaa 7 (CST) kuilinganisha na Salina Cruz (kusini-magharibi mwa Meksiko). Mauaji ya Meksiko yametokea saa 4 usiku wa Jumanne, Copenhagen ikiwa saa 1 asubuhi Jumatano CET. Saa 5 usiku wa Jumanne, El Tigre anahamishwa (na ndege binafsi) kutoka katika milima ya Tijuana (alikokuwa amejificha) mpaka katika jumba la kifahari la Eduardo Chapa de Christopher (Mkurugenzi wa Usafirishaji wa Kolonia Santita) nje ya Salina Cruz – ambako Chui anafika saa 10 alfajiri na kuendesha kikao cha dharura cha Bodi ya Wakurugenzi ya Kolonia Santita.”
Source: Kolonia Santita
“Kwa vile hatasamehewa, Shetani hatawasamehe wanadamu. Atahakikisha anauwa kila mtu duniani na kumpeleka kuzimu; ambako anaishi yeye, majini, malaika waovu, wana wa Mungu waliotumwa na Mungu kuja duniani kufundisha watu utukufu lakini wakaasi na Mungu akawalaani (au Wanefili) pamoja na nguva. Nguva ni uzao wa Wanefili na samaki wa baharini na malaika wauvu na wanapatikana zaidi katika Bahari ya Atlantiki, ambako mkuu wake ni Malkia wa Pwani, na katika Bahari ya Hindi ambako mkuu wake ni Malkia wa Bahari ya Hindi. Chini ya Bahari ya Hindi ndipo yalipo makao makuu ya ufalme wa giza hapa duniani.”
“Kwa vile kura yako ni sauti yako ongea na nchi yako kwa kupiga kura sahihi bila kukosea au bila shinikizo la rushwa au dini au kabila au ushabiki, kwa ajili ya maendeleo yako na ya nchi yako.”
“Kwa vile taifa la Israeli lilipoteza haki yake ya upendeleo, Mungu aliahidi kuliharibu kama alivyoyaharibu mataifa ya Waamori na Wamisri. Watu wa Israeli walishafika mbali sana kiasi cha Mungu kutokutegemea tena toba kutoka kwao. Kuna muda wa fursa na kuna muda ambao fursa haipo tena. Nafasi ya Israeli ya kutubu ilishafikia mwisho.
Kama alivyokuwa amepigana vita vyao kwa ajili yao katika siku za nyuma sasa Mungu alipigana nao. Pamoja na ujasiri na utaalamu wao wote wasingependelewa tena. Mambo ambayo mwanzo yaliipa Israeli nguvu katika vita yaliwageukia.”
“Kwetsbare narcisten zijn de muurbloempjes onder de narcisten. Zij slagen er niet in om het opgeblazen beeld constant vast te houden.”
Source: De narcistische wereld ontvlucht
“Ky can play this game . . . He knows exactly how to play, and that's why he loses every time.”
Source: Matched
“Ky didn't allow her mother to have feelings, because to grant her those would mean acknowledging that she was a person who had desires and dreams beyond what Ky saw. It was easier to imagine her as a caricature, as an immigrant Cabramatta parent, whose only desire was for her children to become doctors and lawyers (or ideally both) whose only means of expressing love to them was through cooking their meals, washing their clothes, and criticizing them into being better people. And despite wanting more from her mother, despite wanting the expression of love that came with warmth and acceptance, despite wanting her mother to actually know who she was, Ky had convinced herself that it was beyond her mother's capabilities, that people from the old country simply didn't do things that way. They'd give their life for you, but good luck getting them to see you.”
Source: All That's Left Unsaid
“Ky gives me three gifts for my birthday. A poem, a kiss and the hopeless, beautiful belief that things might work.
When I open my eyes... I say, "I didn't give you anything for your birthday, i don't even know when it is." And he says, "Don't worry about that" and I say, "What can I do?" and he answers, "Let me believe in this, all of this, and you believe it too."
And I do.”
Source: Matched
“Ky laughed, felt the tingling warmth that bloomed within her whenever she talked to someone for whom she didn't need to fill in the blanks - someone who understood that the act of complaining about her parents was not an invitation to troubleshoot her problems, because there was no solving the problem of refugee parents; someone who could commiserate without casting judgment; someone who accepted the contradiction of the things that annoyed her most about her family being the same things that signaled to her that they cared.”
Source: All That's Left Unsaid
“Kya heard every word. Being dead didn't bother her; they couldn't scare her with threats of ending this shadow life. But the process of being killed by another's hand, planned and set to schedule, was so unthinkable it stopped her breath.”
Source: Where the Crawdads Sing