Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Ukijidharau unadharau uwezo ambao Mungu alikuwekea ndani yako.”
“Mungu hababaishwi na matatizo yako. Anababaishwa na imani yako.”
Source: Kolonia Santita
“Kuwa na kiasi katika matarajio yako. Hatuna uwezo wa kuona mambo kama Mungu anavyoyaona.”
“Ubatizo ni hatua ya kwanza ya wokovu, na Wakristo ni matunda ya kwanza ya Mungu.”
“Usisubiri Mungu afanye kitu ambacho Mungu anasubiri ufanye.”
“Mungu hagawi pesa kwa watu kama watu wanavyofikiria. Anagawa upendo na hekima.”
“Shindana na wenzako kuwa juu zaidi katika tasnia uliyojichagulia.”