“Mungu hataki tuwe maskini, kwani fedha na dhahabu ni mali yake. Anachotaka kutoka kwetu, zaka.”
Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
Source: Kolonia Santita
Source: Kolonia Santita
“Mungu asingekuwepo matajiri wangehonga kifo ili waishi milele.”
“Ukiwa karibu na Mungu utakuwa na maarifa kuliko profesa, Mungu ana maarifa kuliko profesa.”
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.”
“Roho ikikua itajua hiki ni cha Mungu na hiki ni cha Shetani! Chaguo ni lako.”
“Kama Mungu na Shetani hawako ndani yako, hiyo vita ya kiroho unaipigania wapi?”