Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Mtu akikuomba msamaha msamehe. Usipomsamehe hutasamehewa na aliyetusamehe.”
“Tunasema uongo kwa sababu hatuna ujasiri wa kusema ukweli. Ukweli hautupi uhuru, unatupa upweke.”
“Pambana na Shetani kwa upanga wa imani ambao ni ukweli kwani ukweli ndiyo utakaokuweka huru.”
“Ufalme wa Mungu umo ndani ya mioyo yetu; dunia yetu imo ndani ya vichwa vyetu, visogoni mwetu.”
“Taifa ni mataifa. Ukitambuliwa na taifa utatambulika kimataifa.”
“Utakapofika mwisho wa njia, geuka. Huo ndiyo mwanzo wa njia nyingine.”
“Ukitaka kujua kwa nini ya kila kitu endeleza nafsi yako kuwa huru!”
“John Murphy alifanya mapenzi na Debbie kwa faida ya Tume ya Dunia.”
“Debbie alikuwa akimwangalia Murphy kama paka anavyoangalia maziwa.”
“Kila mtu anapaswa kuwa na siri angalau moja katika maisha yake.”