Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Watu hawashabikii watu wa kawaida; wanashabikia watu ambao si wa kawaida.”
“Kuwa mkristo wa kanisa au wa dini ni kughushi imani – na kughushi imani ni dhambi kubwa.”
Source: Kolonia Santita
Source: Kolonia Santita
“Kama Shetani hawezi kulala sisi tutalalaje? Pambana hadi siku ya mwisho.”
“Wakati ndege inapaa huwa inapambana na upepo. Lakini inapaa, hata hivyo.”
“Wakati mwingine tukitaka kufanikiwa lazima tujifunze kutunza siri.”