“Shahidi mwaminifu na wa kweli anayajua mambo yetu yote tangu kuumbwa hadi mwisho wa dunia yetu. Kwa hiyo, ni kweli unabii lazima utimie. Mungu anataka tuwe na amani ndani ya mioyo yetu lakini anajua si jambo rahisi kwa sababu ya hila za Shetani. Shetani asingekuwepo amani ingekuwepo; watakatifu wasingekuwepo, dunia isingekuwepo. Lakini mlango wa rehema bado haujafungwa. Bado tuna uhuru wa kuchagua mema dhidi ya mabaya.” WorldGodEvilPeaceFreedomDevilGoodWitnessFaithfulSatanTrueMunguSaintsDuniaShetaniAmaniMabayaMemaUhuruKweliWatakatifuMwaminifuSi Jambo RahisiDevil S SchemesEnd Of Our WorldHila Za ShetaniIn Our HeartsIt Is Not EasyMlango Wa RehemaMwisho Wa Dunia YetuNdani Ya Mioyo YetuProphecy Must Be FulfilledShahidiShahidi Mwaminifu Na Wa KweliSince CreationTangu KuumbwaThe Door Of MercyThe Faithful And True WitnessUnabii Lazima Utimie Author:Enock Maregesi
“Kila kipato kina mashetani yake, mengine mazuri na mengine mabaya, lakini mengi ni mabaya. Wakati mwingine maskini ahitaji pesa, pesa anaweza kushindwa kuidhibiti, anahitaji paa na kuta nne kujisetiri yeye na familia yake.” EvilPoorMoneyFamilyGoodIncomeRoofFamiliaFour WallsDevilsMaskiniPesaMabayaMazuriMashetaniPaaKipatoKuta Nne Author:Enock Maregesi
“Hasanati ni matendo mema. Mema yanatoka kwa Mungu. Mabaya yanatoka kwa Shetani. Mke mwema anatoka kwa Mungu. Mke mbaya anatoka kwa Shetani. Mke mwema ana hekima na busara, ana maadili na tabia njema, ana utu na uchapakazi, ana wema na upendo, na ana aibu kwa wanaume.” MenLoveGodWisdomHumanityEvilGoodnessEthicsShameGoodSatanGood DeedsPrudenceMunguGood WifeShetaniGood BehaviorHekimaUpendoMabayaMemaIndustriousnessUtuWemaAibuMaadiliUchapakaziBusaraHasanatiWanaumeMatendo MemaTabia NjemaBad WifeMke MbayaMke Mwema Author:Enock Maregesi
“Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka mabaya katika maisha yake. Mwanamume atake mwanamke mwenye matendo mema. Mwanamke atake mwanamume mwenye matendo mema. Misingi ya hasanati ni misingi ya utu. Tukiishi katika misingi ya utu, misingi ya matendo mema, tutaishi sawasawa na mapenzi ya Mungu. Kila mtu anapaswa kuishi na mke au mume aliye mwema.” LifeHumanityEvilWifeHusbandManWomanSaneGood DeedsPersonMaishaMtuWill Of GodFoundationsMwanamkeMabayaMwanamumeUtuMapenzi Ya MunguMkeHasanatiMatendo MemaMisingiMumeAkili Timamu Author:Enock Maregesi
“Kwa mwanamke wa kuoa natafuta hasanati. Akiwa mbaya atakuwa mzuri. Akiwa maskini atakuwa tajiri. Akiwa gumbaru atakuwa msomi. Akiwa mshamba atakuwa mjanja. Akiwa mjinga atapata maarifa. Nitampenda zaidi kwa mazuri kuliko mabaya.” BeautifulEvilPoorKnowledgeUglyGoodFoolishWomanGood DeedsNaiveSuspiciousIlliterateMaskiniMwanamkeMaarifaMabayaLiterateMazuriMsomiHasanatiMbayaMjingaTo MarryMzuriGumbaruKuoaMjanjaMshamba Author:Enock Maregesi
“Nguvu za hasi ni mawazo mabaya, na nguvu za chanya ni mawazo mazuri. Nguvu za hasi ni Shetani, kwa vile Shetani ndiye anayeleta mabaya. Nguvu za chanya ni Mungu, kwa vile Mungu ndiye anayeleta mazuri. Katika dunia hii utapambana na Shetani lakini hutamshinda, kwani hapa ndipo anapotawala. Pambana na Shetani katika dunia ya kiroho, kwa maana ya maombi na utiifu kamili kwa Mwenyezi Mungu, kama unataka kuzishinda nguvu zake.” WorldEvilGoodObedienceSatanPrayersGood ThoughtsDuniaShetaniEvil ThoughtsMwenyezi MunguGod AlmightyMabayaSpiritual WorldMaombiMazuriDunia Ya KirohoNegative ForcesNguvu Za ChanyaNguvu Za HasiPositive ForcesMawazo MabayaMawazo MazuriUtiifu Author:Enock Maregesi
“Mungu hakutuumba ili tuwe roboti, ambayo hufanya kazi kama ilivyoelekezwa. Alituumba ili tuwe huru. Yaani, tuwe na uwezo wa kuchagua mema au mabaya – ndiyo maana akaweka Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya katika Bustani ya Edeni – ndiyo maana akamtuma Shetani kuwajaribu Adamu na Hawa, wazazi wetu wa kwanza.” GodEvilCapacityGoodParentsSatanFreeMunguGarden Of EdenShetaniRobotUwezoMabayaMemaWazaziHuruBustani Ya EdeniMti Wa Maarifa Ya Mema Na MabayaOur First ParentsWazazi Wetu Wa KwanzaRoboti Author:Enock Maregesi
“Kama nje ya uwezo wa kisheria ni uovu, hivyo basi, ndani ya uwezo wa kisheria ni wema. Kila mtu amepewa vipaji na Mwenyezi Mungu. Tumia vipaji vyako kutenda mema. Usitumie vipaji vyako kutenda maovu.” LawEvilLimitsGoodGood DeedsTalentsBeyondUwezoMemaSheriaVipajiNjeWemaEvil DeedsUovuMaovu Author:Enock Maregesi
“Unabii ni uwezo alionao mtu wa kuongea mambo matakatifu ya Mungu, kuwaongoza wenzake katika njia njema. Mungu humwambia nabii kitu cha kusema na nabii huwambia wenzake kile ambacho Mungu amemwambia aseme. Mungu hawezi kuongea na watu mpaka watu wajue jinsi ya kuongea naye, na wakati mwingine ni rahisi sana kusikia ujumbe kutoka kwa mtu kuliko kuusikia ujumbe huo moja kwa moja kutoka kwa Mungu. Mungu anaweza kukwambia useme kitu fulani kwa mtu au watu fulani. Unaweza usijue kwa nini anakwambia ufanye hivyo, lakini utajisikia msukumo wa hali ya juu wa kutangaza ujumbe uliopewa kuuwasilisha. Mungu hatakulazimisha, lakini atakung’ang’aniza, na ni Mungu pekee anayejua lengo la mawasiliano hayo. Mungu akikwambia ufanye kitu fanya mara moja, usiulize kwa nini. Kazi yako ni kufanya unachotakiwa kufanya, kusema unachotakiwa kusema, si kuuliza maswali. Mtumie rafiki yako wa kiroho kukuongoza katika mema na mabaya, na usitambe – kwamba unaongea maneno uliyoambiwa na Mungu uyaongee. Ukiwa na uwezo mkubwa wa kuongea na Mungu utaleta mabadiliko katika dunia.” PeopleWorldGodEvilChangePowerCommunicationGoodProphetProphecyMunguMessageDuniaWatuUrgeUwezoMabayaMemaMabadilikoUnabiiUjumbeMawasilianoMsukumoNabii Author:Enock Maregesi
“Hasira ni Shetani. Hekima ni Mungu. Kila kitu kimo ndani yetu. Hasira imo ndani yetu. Hekima imo ndani yetu. Atomu ni matofali ya ujenzi wa kila kitu ulimwenguni likiwemo jua na miili ya wanadamu. Ndani ya atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi. Kama miili yetu imetengenezwa na atomu na katika kila atomu kuna nguvu ya chanya na kuna nguvu ya hasi, hivyo basi, tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri na tuna uwezo mkubwa wa kufanya mambo mabaya. Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana. Geuza hasira yako kuwa hekima kwa faida yako na kwa faida ya wengine.” GodWisdomUniverseEvilHuman BeingsSunPositiveBuildingNegativeAngerGoodSatanFightThank YouPersonOthersMunguBenefitShetaniMtuAtomUlimwenguHekimaMabayaHasiraWanadamuWengineBlocksJuaFaidaAtomuChanyaMazuriPiganaHasiAsanteMatofaliUjenzi Author:Enock Maregesi
“Mdanganyifu hudanganya wanaopenda kudanganywa.” ChildrenEvilTechnologyMediaTelevisionInternetMoralityDevilRadioNewspapersMoralsLiarDeceiverGlobalisation Author:Enock Maregesi
“Mtu yoyote anayedanganya ni Shetani, kwani Shetani ni baba wa uongo. Tusikubali kudanganywa ovyo, hasa watoto wetu, katika kipindi hiki cha utandawazi na teknolojia.” ChildrenEvilTechnologyMediaTelevisionInternetMoralityDevilRadioNewspapersMoralsLiarDeceiverGlobalisation Author:Enock Maregesi
“Sasa litambua hili: ushindi ni lazima kwa sababu Daudi wetu Yesu Kristo ameshamshinda Goliati wao Shetani. Amemshinda ili aishi ndani yetu na anaishi ndani yetu. Lakini hatutaweza kumshinda Shetani na malaika wake mpaka tutambue kuwa wapo na tuamini kuwa Mungu atawashinda kama tutampa nafasi ya kufanya hivyo kwa kuwa watiifu kwake.” VictoryJesus ChristYesu KristoUshindiNgao Kamili Ya MunguPanopliaDaudi WetuGoliati WaoOur DavidTheir Goliath Author:Enock Maregesi
“Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu. 2 + 2 = 5. Umoja una sisi (ubinadamu), si mimi (ubinafsi). Watu wanne wakifanya kazi kwa ushirikiano watakuwa na nguvu ya watu watano! Watakuwa na nguvu ya ziada kufanikisha malengo kama vile kuwa na uwezo wa kusaidia jamii kama timu au kama mtu binafsi, kujenga jengo la ofisi, kutengeneza ziada katika masuala ya uchumi wa kampuni au nchi au wa mtu binafsi, ushindi katika kitu chochote kile, na kadhalika. Mimi ni ubinafsi. Sisi ni ubinadamu. Ubinafsi ni uvivu. Ubinadamu ni uchapakazi.” CountryHumanityIndividualWorkCompanyEconomyTeamStrengthVictoryWeaknessCapacityUnityGoalsSeparationSelfishnessCooperationLazinessIWeIndustriousMimiKaziNguvuUwezoNchiSisiUbinafsiUmojaUvivuCommunity SupportMalengoUchapakaziUbinadamuUshindiNguvu Ya ZiadaTimuExtra StrengthFive PeopleFour PeopleUtenganoWatu WanneWatu WatanoBuild An Office BuildingKampuniKujenga Jengo La OfisiKusaidia JamiiKutengeneza ZiadaMtu BinafsiProducing ExtraUchumiUdhaifuUshirikiano Author:Enock Maregesi
“Saa nane za usiku timu nzima ya Vijana wa Tume ilirudi San Ángel katika helikopta ya DEA, tayari kwa safari ya Salina Cruz katika jimbo la Oaxaca. Kukamatwa kwa Gortari, Eduardo na Dongyang ulikuwa ushindi mkubwa wa kwanza wa Tume ya Dunia. Ushindi huo ukalipua wimbi la kukamatwa kwa wahalifu wa kimataifa, wa Kolonia Santita, dunia nzima.” JourneyTeamVictoryWaveSafariKolonia SantitaTume Ya DuniaHelicopterVijana Wa TumeDeaWorldwideOaxacaSalina CruzDunia NzimaUshindi2 AmEduardo Chapa De ChristopherGortari ManuelHelikoptaTimuLi DongyangDongyangEduardoGortariInternational CriminalsSaa 8 Za UsikuSan ÁNgelWahalifu Wa KimataifaWimbi Book:Kolonia Santita Source: Kolonia Santita
“Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.” PeopleWorldKindKindnessEnvironmentNiceMarkAnimalsDuniaWatuBe NiceMkarimuAlamaWanyamaMazingiraUkarimuKuwa Mkarimu Author:Enock Maregesi
“Mkristo hatakiwi kudanganya, hata kama ni utani.” ChristianLiesJokeMkristoUtaniUwongo Author:Enock Maregesi
“Progress is to respect what is present and vice versa, although it may not speak out.” SuccessProgressRespectSpeak Out Author:Enock Maregesi
“Unapokutana na mtu, kisha mtu huyo haoneshi dalili yoyote ya kutaka kusalimiwa; je, anataka umsalimie au usimsalimie? Ndugu yangu, onesha lugha ya mwili kuonesha utu.” HumanityRespectRespecting OthersBody LanguageRespecting YourselfHeshimaUtuLugha Ya MwiliJiheshimu Author:Enock Maregesi
“Mzazi wako akikutuma kufanya jambo jema ukakubali umemheshimu. Akikutuma kufanya jambo jema ukakataa umemdharau. Lakini, mzazi wako akikutuma kufanya jambo baya ukakubali umemdharau. Akikutuma kufanya jambo baya ukakataa umemheshimu. Hivyo, mheshimu mzazi wako katika mambo mema na katika mambo mabaya.” ParentRespectHeshimaMzazi Author:Enock Maregesi
“Pombe haina adabu. Ukilewa unakuwa mtoto tena.” RespectAlcoholChildMtotoAdabuPombe Author:Enock Maregesi
“Mzazi wako akikwambia kuwa usiwe mkorofi, usivunje sheria za nchi, usiwe na marafiki wabaya, na usiasi dhidi ya serikali, mheshimu kwa kukubali. Akikwambia kuwa uwe mkorofi, uvunje sheria za nchi, uwe na marafiki wabaya, na uasi dhidi ya serikali, mheshimu kwa kukataa.” ParentRespectHeshimaMzazi Author:Enock Maregesi
“Biblia inatuagiza tuwaheshimu wazazi wetu ili siku zetu zipate kuwa nyingi hapa duniani. Mzazi wako akikutuma kuiba mheshimu kwa kukataa.” RespectBibleParentsBibliaHeshimaWazazi Author:Enock Maregesi
“Mheshimu yule ambaye ni mkubwa au mdogo kwako hata kwa siku moja.” RespectOlderYoungerMdogoMkubwaMheshimu Author:Enock Maregesi
“Juzi si sawa na jana na jana si sawa na leo na leo si sawa na kesho, na kesho si sawa na keshokutwa. Ongea na watu kwa heshima.” TodayRespectYesterdayLeoHeshimaDay After TomorrowJanaDay Before YesterdayJuziKeshokutwa Author:Enock Maregesi
“Kuna nguzo saba ambazo hazina budi kuzingatiwa kama unataka kuheshimiwa na kuwaheshimu wengine. Kwanza kabisa jitambue: wewe ni nani na unafanya nini hapa duniani. Halafu, kabla ya kusema jambo lolote kwa mtu yoyote fikiria kwanza maana au madhara ya hilo unalotaka kulisema. Kisha jifunze tamaduni mbalimbali na watendee wengine kama vile unavyotaka kutendewa au kama vile wanavyotaka kutendewa. Jifunze kusamehe na kusuluhisha migogoro katika jamii unamoishi huku ukidumisha heshima na utu kwa binadamu wenzako. Jijengee imani kwa watu, punguza upendeleo, fanya kazi kama timu kwani hakuna ‘mimi’ katika umoja ila kuna ‘sisi’, na jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE kwa manufaa ya wote. Kuwa kiongozi katika kila jambo unalofanya na katika kila kitu unachofanya. Jitahidi kufanya jambo au kitu kwa usahihi kwa kadiri utakavyoweza.” FaithHumanityLeaderTeamSocietyHumanRespectUnityKnow YourselfAccuracyIWeAllConflictsCulturesMimiImaniBinadamuHeshimaSisiKiongoziJamiiFavouritismUtuUmojaWoteMigogoroTimuUpendeleoJitambueKuheshimiwaTamaduniTo Be RespectedUsahihi Author:Enock Maregesi
“Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu kingine chochote kile kwa sababu wana uwezo wa kuona tusipoweza kuona. Yaani, wanajua kilichokuwepo kabla ya sisi kuzaliwa na wanajua kilichokuwepo baada ya sisi kuzaliwa. Maisha tuliyopitia, wazazi wetu walishapitia. Tulipokuwa, wazazi wetu walishakuwepo; na tulichofanya, wazazi wetu walishafanya. Hivyo, hatuna budi kuwaheshimu wazazi wetu. Lakini, wazazi wetu wanapaswa kujiheshimu kutufundisha adabu na maadili mema.” LifeRespectMaishaAdabuGood ConductMaadili MemaOur Parents Need RespectThey Can See Where We Can T SeeWanaweza Kuona Tusipoweza KuonaWazazi Wetu Ni Watu Wa Kuheshimu Author:Enock Maregesi
“Heshima hujengwa kwa hekima, haijengwi kwa misuli.” WisdomRespectMusclesHekimaHeshimaMisuli Author:Enock Maregesi
“Wafundishe watoto wako uaminifu, adabu na jinsi ya kuishi vizuri na watu, ili waaminike, waheshimike na waishi vizuri na watu.” RespectAdabuKuishi Vizuri Na WatuTeach Children About HonestyTo Live Well With PeopleWafundishe Watoto Uaminifu Author:Enock Maregesi
“Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kupata sifa ya madaraka na hivyo kunyanyasa na kudharau watu kwa sababu ya madaraka yake, bali alichaguliwa kuleta mabadiliko katika dunia kama Rais wa Tume ya Dunia kutetea afya na amani ya dunia nzima kwa unyenyekevu na heshima kwa binadamu wenzake.” HumansPowerRespectHumblenessBinadamuHeshimaRais Wa Tume Ya DuniaMadarakaUnyenyekevuAttributes Of PowerSifa Ya MadarakaChanges In The WorldDefending Health And World PeaceExploit And Despise PeopleKunyanyasa Na Kudharau WatuKutetea Afya Na Amani Ya DuniaMabadiliko Katika Dunia Author:Enock Maregesi
“Kiongozi wa wananchi au wa serikali hapaswi kuchaguliwa au kuteuliwa kwa ajili ya kupata sifa ya madaraka na hivyo kunyanyasa na kudharau watu kwa sababu ya madaraka yake, anapaswa kuchaguliwa au kuteuliwa kwa ajili ya kuleta mabadiliko katika nchi kama kiongozi wa dhima aliyokabidhiwa kwa unyenyekevu na heshima kwa wananchi wenzake.” PeoplePowerRespectHumblenessWatuHeshimaExploit PeopleMadarakaUnyenyekevuAttributes Of PowerDespise PeopleFellow CitizensSifa Ya MadarakaChanges In The CountryKiongozi Wa SerikaliKiongozi Wa WananchiKudharau WatuKunyanyasa WatuLeader Of The GovernmentLeader Of The PeopleMabadiliko Katika NchiWananchi Wenzake Author:Enock Maregesi
“Mheshimu sana mtu aliyekupandisha juu kwa sababu utakaposhuka ndiye atakayekupokea, ijapokuwa unaweza usishuke kabisa au unaweza kushuka ukapokelewa na mtu mwingine baki, kwa kudura za Mwenyezi Mungu.” RespectPersonAlmighty GodTopMtuMwenyezi MunguHeshimaJuuAnother PersonGod S BountyKudura Za Mwenyezi MunguMtu Mwingine Author:Enock Maregesi
“Wachawi hivi ndivyo wanavyoapishwa na kuikana imani ya Kikristo: Mwanafunzi hupelekwa kilingeni katika siku maalumu kuonana na Shetani, pamoja na jopo la wachawi. Shetani hutokea katika mwili wa hewa, mwili uliochanganyikana na hewa na mvuke mzito, wa mwanamume na kuwasihi waishikilie imani yao kwake kwa mioyo yao yote, huku akiwaahidi utajiri na maisha marefu kama hawatamkana. Kisha wachawi wanampendekeza mwanafunzi kwa Shetani. Shetani humuuliza mwanafunzi kama yuko tayari kuikana imani yake, kuachana na Ukristo na kutokumwabudu Mwanamke Aliyebarikiwa Kuliko Wanawake Wote Duniani Maria Magdalena, na kutoziheshimu sakaramenti za aina zote. Mwanafunzi atakapokubaliana na masharti hayo, Shetani atanyoosha mkono wake na kumsihi mwanafunzi anyooshe wa kwake. Kwa mkono wake mwenyewe, mwanafunzi ataapa na kuweka agano na Shetani mbele ya jopo la wachawi. Baada ya hapo bila kuchelewa Shetani ataendelea na kusema kuwa hicho kiapo hakitoshi. Lakini mwanafunzi atakapouliza afanye kitu gani cha ziada, Shetani atahitaji kiapo kifuatacho kwa heshima yake na kwa heshima ya mashetani wote: Mwanafunzi ajikabidhi kwa Shetani kwa mwili na kwa roho yake yote daima dawamu, na afanye kila awezalo kuleta wanafunzi wengine wa kike na wa kiume katika ufalme wake. Kama hiyo haitoshi Shetani ataongeza kuwa lazima mwanafunzi atengeneze mafuta fulani kutokana na mifupa na viungo vya miili ya watoto, hasa watoto waliobatizwa, kwani kwa kufanya hivyo atamtimizia kila kitu atakachokitaka hapa duniani. Hiyo ni njia mojawapo ya kiapo. Njia nyingine ya kiapo ni kwa wale ambao hawajiamini au wana hofu ya kuonana na Shetani uso kwa uso kilingeni, akiwa na mwili wa kimazingaombwe na sauti ya kutisha kwani Shetani hana mapafu wala hana ulimi. Badala ya kilingeni mwanafunzi hupelekwa kanisani na jopo la wachawi ambapo mbele ya jopo atalazimishwa kuikana imani yake, kumkana Yesu Kristo, kuukana ubatizo na kulikana kanisa zima kwa ujumla wake. Mwanafunzi baada ya hapo atalazimishwa kutoa heshima kuu kwa Mfalme Mdogo, kwani hivyo ndivyo wanavyomwita Shetani ili kumwondolea mwanafunzi hofu, kisha atalazimishwa kunywa supu ya mtoto mchanga waliyemuua akazikwa kisha wakamfukua na kupika viungo vya mwili wake; na dakika hiyo mwanafunzi atapata maarifa, maarifa ya kichawi, kama walimu wake na watarudi nyumbani.” WorldSoulHomeBodyFaithSoundChurchWealthChristianityKnowledgeAirConditionsRespectJesus ChristTongueManSatanKingdomWitchesLungsWizardsLong LifeTeachersOathCovenantBaptismChristian FaithHandShetaniNovicesMary MagdaleneDevilsYesu KristoImaniMaarifaMwiliSacramentHeshimaRohoUtajiriMwanamumeDunianiMashartiHewaSautiWachawiNoviceUkristoConclaveMapafuMaria MagdalenaKiapoMashetaniUbatizoKanisaniMafutaMkonoNyumbaniUfalmeWalimuWanafunziAerial BodyAganoAll Their HeartsAnomalous WomanBaby S SoupBaptized ChildrenBones And Limbs Of ChildrenDaima DawamuForever And EverGross VapourImani Ya KikristoJopo La WachawiKilingeniLittle MasterMagical BodyMaisha MarefuMfalme MdogoMioyo Yao YoteMvuke MzitoMwanafunziMwili Wa HewaMwili Wa KimazingaombwePanel Of WitchesSakaramentiSupu Ya Mtoto MchangaUlimiUnguentsWatoto Waliobatizwa Author:Enock Maregesi
“Lengo la kuabudu ni kumtukuza, kumheshimu, kumsifia, kumfurahia, na kumpendeza Mungu. Ibada yetu lazima ionyeshe mapenzi ya kweli na uaminifu mkubwa kwa Mungu kwa ajili ya wema na rehema ambavyo ametupa kupitia Mwanaye wa Pekee aliyekufa msalabani, ili kutuokoa kutoka ubinafsini.” EnjoyWorshipRespectMercyPraiseTrue LoveGoodAdmireCrossPlease GodWemaMsalabaniMapenzi Ya KweliGreater LoyaltyHis Only SonIbadaKumfurahiaKumheshimuKumpendeza MunguKumsifiaKumtukuzaKutuokoa Kutoka UbinafsiniLengo La KuabuduMwanaye Wa PekeePurpose Of WorshipRehemaSave Us From SelfishnessUaminifu Mkubwa Author:Enock Maregesi
“Nilijifunza toka awali umuhimu wa kushindwa katika maisha ijapokuwa nilijitahidi sana, na nilipoendelea kushindwa niliweka nadhiri ya kufanya kitu kimoja kilicholeta maana zaidi katika maisha yangu nacho ni uandishi wa vitabu. Uandishi wa vitabu ndicho kitu pekee nilichokiweza zaidi kuliko vingine vyote na kuanzia hapo Mungu aliniweka huru. Nilijua mimi ni nani. Nilijua kwa nini nilizaliwa. Nilijifunza falsafa ya kuacha dunia katika hali nzuri kuliko nilivyoikuta – kwa sababu hata mimi nilikuwepo – na falsafa ya kushindwa si hiari. Maarifa hayo yakafanya niwe na heshima na upendo kwa watu wote.” PeopleWorldLoveLifePhilosophyGodKnowledgeFailureRespectImportanceMeaningFreeVowMunguDuniaMaishaWatuFailure Is Not An OptionMy LifeMaarifaUpendoHeshimaMaanaEarlierKushindwaMaisha YanguHuruNadhiriFalsafaKushindwa Si HiariAwaliBooks WritingUandishi Wa VitabuUmuhimu Author:Enock Maregesi
“Familia yako haikusaidii chochote katika mipango ya takdiri yako. Hii inasikitisha sana. Unajitahidi kila siku kuwafurahisha watu unaowapenda na watu wako wa karibu. Kila ukijitahidi kupata kibali cha watu unaishia kudharaulika na kuonekana mjinga asiyekuwa na maana. Sikiliza mazungumzo ya ndani ya moyo wako. Wapendwa wako watakukubali kama mtu hodari asiyekata tamaa, na tena watakuheshimu kutokana na tabia zako hizo. Mabadiliko haya ya kifikra hayatatokea haraka kama unavyofikiria. Yatachukua muda. Hivyo, kuwa mvumilivu. Wakati huohuo, endelea kucheza ngoma uliyoianzisha mwenyewe, endelea na mipango yako kama akili yako inavyokutuma.” PeopleTimeFamilyDestinyFoolRespectPatienceBraveLoved OnesApprovalListen To Your HeartFamiliaInstinctsWatuQualitiesAkiliDrumMudaHeshimaEndeavorsTabiaTakdiriUvumilivuKibaliMipangoMjingaChange Of AttitudeHodariMabadiliko Ya KifikraNgomaWapendwa Author:Enock Maregesi
“Ukitaka kutambulika usione aibu.” SuccessRespectShameContemptScornMafanikioHeshimaDharauAibuBe RecognizedTambulika Author:Enock Maregesi
“Kitu cha kwanza kufanya kama umeamua kuficha ukweli wape watu ukweli mwingine kulinda thamani ya utu wako.” TruthRespectUntruth Author:Enock Maregesi
“Migogoro inatokea kwa sababu watu wameshindwa kuheshimiana. Ukijiheshimu na ukaheshimu wengine; utaacha dunia katika hali nzuri kuliko ulivyoikuta, wakati ukiingia.” InspirationalRespect Author:Enock Maregesi
“Wazazi wetu ni watu wa kuheshimu kuliko kitu chochote. Wanaweza kuona tusipoweza kuona – nyuma na mbele ya tarehe zetu za kuzaliwa.” Respect Author:Enock Maregesi
“Katika Biblia kuna tabiri 333 kuhusu maisha ya Yesu Kristo, na kuhusu kurudi kwake kwa mara ya pili. Kati ya hizo, 332 zilitimia! Bado mmoja tu: Kurudi kwa Yesu Kristo kwa mara ya pili. Unadhani huo wa kurudi kwa Yesu Kristo kwa mara ya pili hautatimia? Muda umefika. Jitathmini katika maisha yako na uchague lililo jema.” LifeBibleJesus ChristMaishaBibliaYesu Kristo333 PropheciesTabiri 333 Author:Enock Maregesi
“Kwa nini Biblia imejaa mafumbo? Biblia imejaa mafumbo kwa sababu akili za watu bado hazijakomaa kuupokea ukweli. Yesu na waandishi wote wa Biblia waliongea na kuandika kimafumbo, ili Neno la Mungu lijidhihirishe lenyewe kiroho katika mawazo ya mtu.” JesusConsciousnessBibleWritersBibliaRiddlesYesuWaandishiMafumboMawazo Ya Mtu Author:Enock Maregesi
“Lakini damu na maji vina maana kubwa katika maisha yetu. Biblia inaeleza kuwa wakati Yesu Kristo akiwa msalabani alichomwa ubavu wake kwa mkuki, ikatoka damu na maji, ndipo zilipozaliwa sakramenti za kanisa. Aidha, tukio la askari wa Kirumi kumchoma Yesu na damu na maji kutoka lina maana nyingine kubwa katika maisha yetu. Hapo ndipo Ukristo ulipozaliwa; na ni kwa sababu hiyo mwanamke anapojifungua hutoa damu na maji kutokana na kupasuka kwa utando wa mfuko wa uzazi. Kutokana na hayo, Wakristo wanapoabudu msalaba wanaeleza umuhimu wa matukio na mafundisho waliyopata kupitia mateso aliyopata kiongozi wao na kuwa, msalaba ni chombo cha ukombozi.” LifeLeaderBibleJesus ChristMeaningSacramentsPersecutionChristiansCrossTeachingsMaishaBibliaYesu KristoSpearKiongoziMaanaBlood And WaterMkukiWakristoDamu Na MajiMsalabaniUkristoRibChristanityMafundishoMatesoUbavuChombo Cha UkomboziInstrument Of RedemptionSakramenti Za KanisaUtando Wa Mfuko Wa Uzazi Author:Enock Maregesi
“Askari wa Kirumi alimchoma Yesu mkuki ili andiko litimie. Askari huyo ambaye Biblia haikumtaja jina kwa sababu zilizoko nje ya uwezo wetu, alivyoona kweli amepona na ameona alishuhudia, na ushuhuda wake ulitoka moyoni, ili nasi tupate kusadiki. Wauaji wa Kirumi walipoona kwamba wale wezi waliosulubiwa pamoja na Yesu walikuwa bado hawajakata roho, waliwavunja miguu ili washindwe kupumua na hivyo kuharakisha kifo chao. Kwa upande wa Yesu, waliona alishapoteza fahamu na labda alishafariki. Kuthibitisha hilo askari wa Kirumi alirusha mkuki, nao ukatoboa utando unaozunguka moyo wa Yesu na mapafu ya Yesu, na damu na maji kutoka. Lakini yote hayo yalishatabiriwa miaka mingi kabla ya Yesu: ‘Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa’ na ‘Nao watamtazama yeye ambaye walimchoma’.” DeathJesusBibleLegsTestimonyBibliaYesuBoneKifoSpearBlood And WaterMkukiDamu Na MajiThiefsAskari Wa KirumiRoman SoldierJesus HeartJesus LungsMapafu Ya YesuWeziMfupaMiguuMoyo Wa YesuRoman ExecutionersUshuhudaWauaji Wa Kirumi Author:Enock Maregesi
“Wanasayansi wanaamini kuwa Yesu atarudi tarehe 29 Julai 2016. Tarehe hiyo kitu kikubwa sana kitatokea katika dunia yetu kitakachosababisha tetemeko kubwa la ardhi, litakalosababishwa na kubadilika kwa ncha za dunia, tendo litakalosababisha mionzi ya gama kutoka kwenye jua ifike duniani na kuua kila kitu kinachoonekana katika uso wa dunia hii. Watakatifu watafufuka na kumlaki Kristo mawinguni, ambaye anakuja kuwachukua wateule na kumweka Shetani kifungoni kwa miaka 1000. Hayo yote, wanasema, yatatokea ndani ya siku 11 kuanzia leo. Yaani, kusini mwa dunia kutakuwa kaskazini mwa dunia, kaskazini mwa dunia kutakuwa kusini mwa dunia. Kitendo hicho kitafanya dunia ikose kinga ya sumaku iitwayo ‘magnetosphere’ ambayo hukinga dunia dhidi ya mionzi ya gama kutoka kwenye jua. Mionzi hiyo hugonga ukuta wa ‘magnetosphere’ kila baada ya dakika 8 kwa mwendokasi wa kilometa milioni 1080 kwa saa; na kusambazwa katika ncha za dunia ambapo aghalabu huchanganyikana na oksijeni na kutengeneza kitu kinaitwa ‘aurora’, au mwanga wa ncha, ambacho ni maajabu mengine ya angani. Mwaka 2012 wanasayansi walisema ncha za dunia zingebadilika lakini hazikubadilika. Je, muda umefika sasa wa kuwaamini wanasayansi? Biblia ni chuo cha Mungu. Soma Biblia kupata maarifa.” WorldJesusChristKnowledgeSunBibleSatanOxygenScientistsSaintsDuniaShetaniWondersAurora2012BibliaEarthquakeYesuMaarifaJuaKristoWanasayansiOksijeni1000 YearsMaajabuMiaka 1000WatakatifuElectsMwaka 2012Wateule1080 Million Kilometers Per Hour29th July 20168 MinutesChuo Cha MunguDakika 8Gamma Rays RadiationsGod S CollegeKaskazini Mwa DuniaKilometa Milioni 1080 Kwa SaaKinga Ya SumakuKusini Mwa DuniaMagnetosphereMionzi Ya GamaMwanga Wa NchaNcha Za DuniaNorthern WorldSouthern WorldTarehe 29 Julai 2016Tetemeko La ArdhiWorld Poles Author:Enock Maregesi
“Biblia inatuambia kuwa tuombe bila kukoma. Lakini tutaombaje bila kukoma? Njia mojawapo ya kufanya hivyo ni kutumia ‘maombi ya pumzi’ kila siku kama ambavyo Wakristo wengi wamekuwa wakifanya kwa karne nyingi. Unachagua sentensi fupi au maneno rahisi kuhusu Yesu unayoweza kuyasema na kuyarudia kimoyomoyo kila siku katika kila pumzi inayoingia na kutoka ndani ya mapafu yako! Kwa mfano: “Asante Yesu.” “U pamoja nami.” “Nataka kukujua.” “Napokea neema yako.” “Nakutegemea wewe.” “Mimi ni wako.” “Nisaidie nikuamini.” “U Mungu wangu.” “Naishi kwa ajili yako.” “Nisamehe dhambi zangu zote.” Fundisha akili yako kumkumbuka Mungu kila wakati.” JesusBibleBreathChristiansSimple WordsBibliaYesuAll The TimePray Without CeasingWakristoI Am YoursPumziThank You JesusAsante YesuBreath PrayersForgive Me Of All My SinsFundisha Akili YakoHelp Me To Believe YouI Depend On YouI Live For YouI Need To Know YouI Receive Your GraceKarne NyingiKila WakatiKumkumbuka MunguManeno RahisiMany CenturiesMaombi Ya PumziMimi Ni WakoNaishi Kwa Ajili YakoNakutegemea WeweNapokea Neema YakoNataka KukujuaNisaidie NikuaminiNisamehe Dhambi Zangu ZoteSentensi FupiShort SentencesTo Remember GodTrain Your MindTuombe Bila KukomaU Mungu WanguU Pamoja NamiYou Are My GodYou Are With Me Author:Enock Maregesi
“Dhambi ya Adamu ilileta mauti duniani (kwa viumbe vyote, si tu kwa binadamu). Hiyo ni kwa mujibu wa Biblia. Kisayansi si kweli; kwa sababu mauti yalikuwepo kabla Adamu na Hawa hawajaumbwa! Lakini haya ndiyo mawazo yangu: Dhambi iliathiri uumbaji wote ikiwemo mimea, wanyama, wadudu na kila kitu kilichoumbwa na Mwenyezi Mungu; ambavyo huteseka kwa sababu ya laana ya dunia. Kama wanyama na mimea visingekuwa vinakufa, binadamu wasingepata mahali pa kuishi. Hata hivyo, kifo cha Yesu msalabani kitafufua kila kitu – kitafufua uumbaji wote.” DeathSinBibleAdamAnimalsInsectsPlantsAdam And EveAlmighty GodHuman BeingBibliaDhambiBinadamuMwenyezi MunguAdamuAdamu Na HawaWanyamaAll CreationMautiPlace To LiveCurse Of The WorldDeath Of Jesus On The CrossKifo Cha Yesu MsalabaniLaana Ya DuniaMahali Pa KuishiMimeaUumbaji WoteViumbe VyoteWaduduWhole Creation Author:Enock Maregesi
“Watu wa zamani katika Agano la Kale walikuwa wakiabudu miungu iliyotengenezwa kwa mawe na vinyago. Miungu hiyo haikuwa na chochote ndani mbali na kutengenezwa kwa akili na fikira za kibinadamu. Hii ilikuwa ni kinyume cha ukweli wa Kibiblia kwamba Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake, lakini si mtu aliyejaa dhambi kumtengeneza Mungu kwa mfano wake. Kuabudu miungu mingine ni dhambi kubwa. Tii Amri Kumi za Mungu; hasa ya kwanza, ya pili na ya tatu.” MindIdeasGodBibleStonesManGodsOld PeopleIdolatryOld TestamentMunguSinsFirstSecondBibliaDhambiAkiliBinadamuThirdKwanzaMiunguAgano La KaleA Great SinDhambi KubwaFikiraMitiTatuKuabudu MiunguMan In His ImageMaweMtu Kwa Mfano WakeObey Ten Commandments Of GodPiliTii Amri Kumi Za MunguVinyagoWatu Wa Zamani Author:Enock Maregesi