Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Watanzania wengi hawana mzuka na kazi, ndiyo maana wanashindwa.”
“Kuikaribisha amani ya Mungu katika maisha yangu kumenisaidia. Naishi mbinguni duniani.”
“Ndoto ni lugha ya roho inayozungumza kimafumbo kumfanya binadamu ajitambue.”
“Shetani angekuwa na uwezo wa kuona ndani ya moyo wa mtu, binadamu angeshatengeneza moyo.”
“Shetani angekuwa na uwezo wa kuona ndani ya ufahamu wa mtu, binadamu angeshatengeneza ubongo.”
“Ukiwa na mawazo hasi utakuwa na maisha hasi, na ukiwa na mawazo chanya utakuwa na maisha chanya.”
Source: Kolonia Santita
Source: Kolonia Santita