“Waandishi wanapaswa kuwa wadadisi, kama paka, ijapokuwa udadisi ni hatari.”
Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Mungu hababaishwi na matatizo yako. Anababaishwa na imani yako.”
“Ubaguzi ni ubinafsi lakini hakuna ubinafsi mbaya kama ubaguzi.”
“Kuona mambo ya rohoni lazima uwe na darubini ya imani. Darubini hiyo ni Yesu Kristo.”
“Nguvu unayotumia kumchukia mtu itumie nguvu hiyohiyo kumpenda.”
“Soma vitabu visivyopendeza vilivyoandikwa na waandishi mahiri.”
“Kuipinga serikali si kuichukia; bali ni ombi la kutaka ibadilike.”