Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.”
“Taifa ni malaika! Taifa ni Shetani! Laana ya mwenye haki ina haki.”
“Mtu akikutukana mwambie asante. Akikupiga mwambie asante. Akiendelea kukupiga, pigana.”
“Hadithi ya maisha yangu ni yangu. Wewe ni nani kusema hadithi yangu si ya kweli?”
Source: Kolonia Santita
“Shetani hawezi kuona wala kusikia kinachoendelea ndani ya moyo wako.”
“Bila kiburi hutamshinda Shetani, lakini kiburi dhidi ya Shetani unakishinda kwa hekima.”
“Roho ikikua itajua hiki ni cha Mungu na hiki ni cha Shetani! Chaguo ni lako.”
“Kama Mungu na Shetani hawako ndani yako, hiyo vita ya kiroho unaipigania wapi?”