Filter quotes by topic
Famous Enock Maregesi Quotes
Source: Kolonia Santita
“Unataka kufanikiwa lakini hutaki watu wakuone. Kama una kipaji kionyeshe kwa watu.”
“Ukiipenda sana nchi yako ni rahisi sana kuichukia serikali yake!”
Source: Kolonia Santita
“Mungu haamui jinsi watu wanavyoamua. Mtu akikwambia huna kipaji muulize yeye ni nani.”
“Kuna maisha baada ya saa tisa na nusu. Kuwa makini na raia.”
“Kumbuka kwamba watu wanaokupa pesa bila masharti yoyote wanajisikia vizuri sana kufanya hivyo.”
“Watu wakiwa wamekasirika ongea nao jibu; usiongee nao tatizo.”
“Ubinadamu una kila kitu isipokuwa upendo miongoni mwa watu.”